Kitila Mkumbo: Ndalichako amekosea

Kitila Mkumbo: Ndalichako amekosea

Prof. Mkumbo umesema na yangu. Lengo la prof Ndalichako si baya. Utaratibu wa maamuzi si mzuri kwa kweli. Lkn walivyokuwa wameshusha viwango vya ufaulu ilikuwa inaboa sana. Mtu ana D mbili amefaulu?
Sasa siasa basi kwenye elimu, weleji ujidhihirishe.
 
prof unasema bunge lishirikishwe bunge lenyewe limejaa wakina nape unazani watashauri nini.Mtu kama maji marefu what do you expect in bunge
 
Mpaka sasa ukiniambia nitetee uamuzi wa waziri wa elimu Mh Joyce Ndalichako wa kufuta mfumo wa GPA na kurudisha ule wa madaraja yaani DEVISION siwezi nikawa na sababu za msingi hasa kwani sipo kwenye akili yake ninachokiona ni muendelezo wa viongozi wa nchi hii kupinduapindua mambo kwa matakwa yao pasi kuushirikisha umma, alichokifanya Ndalichako amekifanya katika namna ileile aliyoitumia Mtangulizi wake kufuta mfumo wa devision na kuuleta huu wa GPA, The issue supposed to be submitted to public debate in order to come with a good and suitable solution to the extent that one can defend the decision with reasonable arguments, hii ingejenga msingi imara na kwamba yeyote ajaye na kutaka kuover rule atapaswa ajipange kwa sababu hasa za kwanini anataka kubadili mfumo! I am willing to concur with Professor Kitila Mkumbo herein. "
Hili la upangaji wa madaraja ya kufaulu (grading system) linapaswa kutufurahisha kidogo, na kutuudhi sana!
Miaka mitatu iliyopita serikali ilipoleta pendekezo la kubadili mfumo wa madaraja ya ufaulu katika elimu msingi baadhi yetu tulipinga. Kimsingi wataalamu wote wa elimu tulipinga hili jambo. Tulipinga kwa sababu tulibaini nia ovu ya serikali katika jambo hili. Nia yenyewe ni ukweli kwamba serikali ilikuwa inatafuta namna ya kuficha aibu ya wanafunzi wa kidato cha nne kuendelea kufeli katika mitihani ya mwisho. Kufikia mwaka 2012 zaidi ya asilimia 60 ya watahiniwa walifeli mitihani ya kidato cha nne. Kilio cha umma kilikuwa kikubwa. Kwa kutambua kwamba ilikuwa haina muujiza wa kurekebisha hili, huku tukielekea katika uchaguzi wa mwaka 2015 na kwa kutaka kuepuka kuadhibiwa na wananchi katika sanduku la kura, serikali ikaibuka na uamuzi wa kubadili mfumo wa kupanga madaraja. Ndiyo ikaja na huu mfumo wa GPA. Na kwa kweli mara baada ya kubadili mfumo wa kufaulu, ghafka kiwango cha kufaulu kikapanda katika mitihani ya mwaka 2013 na 2014 na serikali kupitia kwa Waziri Kawambwa ikaanza kujivunia mafanikio katika elimu. Wenye akili tulicheka vicheko vya kubeza!
Kwa hiyo uamuzi wa Profesa Joyce Ndalichako (WEST) wa kurudi katika mfumo wa zamani wa Division ni wa kupongezwa kwa kiasi fulani kwa upande mmoja, lakini pia ni uamuzi unaouudhi kwa upande mwingine, kama nitakavyoeleza hapa chini.
Kimsingi mfumo wa GPA sio mbaya kama mfumo. Nchi nyingi duniani zinatumia mfumo huu wa GPA. Tatizo la kwetu ni kwamba tulishusha viwango vya kufaulu. Hili ndilo tatizo la msingi, lakini sio mfumo wenyewe wa GPA. Naamini Prof. Ndalichako analijua vizuri jambo hili kwa kuwa yeye ni mtaalamu mahiri wa upimaji katika elimu (educational assessment) na uzoefu wa miaka takribani nane ya kuendesha Baraza letu la mitihani.
Uamuzi wa Profesa Ndalichako unaudhi kwa sababu unatukumbusha machungu ya Ndugu Mungai aliyebadili mitaala kibabe bila sababu za msingi za kitafiti na kisayansi, wala kushirikisha wadau wa elimu. Leo mwalimu wangu Prof. Ndalichako amebadili mfumu huu bila mjadala wowote mpana kitaifa. Hakuna taarifa ya kitafiti. Hakuna uchambuzi yakinifu. Hakuna Kamati ya Bunge iilyokaa na kujadili. Hatujui waziri mwingine atakayekuja miaka miwili, mitatu, mitano au kumi ijayo atakuja na nini. Hili ni jambo linalotisha katika nchi inayofanya bidii ya kujenga demokrasia na mfumo wa utawala bora. Hata kama uamuzi ni mzuri kiasi gani lakini mfumo wa kufanya maamuzi unaacha ukakasi mkubwa mno. Kwa mtindo wetu wa kufanya maamuzi tunakuwa nchi isiyotabirika wala kuaminika. Tutakuwa na maswali ya kujibu kila siku tunapohusiana na wenzetu katika mataifa mengine. Miaka miwili iliyopita tumekuwa na kazi ya kuwaeleza wenzetu katika nchi nyingine kwamba tulibadili mfumo wetu wa madaraja ya kufaulu na sasa tunatumia GPA. Sasa siku chache zijazo tutaanza tena kuwaambia wenzetu kwamba ooh samahanini tumebadili tena na sasa tunarudi kule kwa zamani. Ebo!!
Tusikubali kuzoea mambo makubwa kama haya yafanywe na mtu mmoja mwenye dhamana au serikali peke yake. Mambo haya yaanze na uchambuzi wa kisayansi, yafuatiwe na mjadala wa kitaifa na maamuzi ya mwisho yafanywe na Bunge au Kamati husika ya Bunge baada ya serikali kuyawasilisha na kushawishi. Ni sahihi kabisa kwa waziri kuwa na mawazo na mapendekezo yake ya kisera. Lakini si sahihi waziri peke yake kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi makubwa ya kutuathiri na kuathiri nchi leo na kesho. Kazi kubwa ya waziri iwe ni kuibua sera na kushawishi ubora wa sera husika lakini uamuzi wake lazima ufuate mkondo mpana wa kitaifa ili hatimaye uamuzi huo tuweze kuumbatia wote kama taifa bila ukakasi. Ifike mahala tuimarishe nguvu za kitaasisi na kimfumo katika maamuzi ya kisera badala ya kutegemea nguvu za mwanasiasa mmoja mmoja mwenye madaraka".

Baraza la mtihali la Taifa limeshindwa kutoa sababu ya msingi ya kubadili mfumo wa Division kwenda GPA kwa kuwa hapakuwa na tafiti hivyo alichofanya Waziri ni kurudia mfumo wa zamani hadi hapo tafiti zitakapomwongoza abadili; Kwa mtindo wa zamani ufaulu ni A, B, C, D na F, hakuna E.
 
prof unasema bunge lishirikishwe bunge lenyewe limejaa wakina nape unazani watashauri nini.Mtu kama maji marefu what do you expect in bunge

dU... LE PROFESER....., KWELI KUSOMA SANA SIO KUELIMIKA,,
 
Mleta Uzi unaandika sana lakini hujui serikali ya ccm huwa inakurupuka, mjadala mitaala ulipelekwa bungeni na mh. J. Mbatia . ccm wakaukataa , sijui wewe unataka mjadala UPI?? Na wapi? Na Hutu kitila mzusji mbona hakumuunga mkono mbatia wakati ule??
 
Mpaka sasa ukiniambia nitetee uamuzi wa waziri wa elimu Mh Joyce Ndalichako wa kufuta mfumo wa GPA na kurudisha ule wa madaraja yaani DEVISION siwezi nikawa na sababu za msingi hasa kwani sipo kwenye akili yake ninachokiona ni muendelezo wa viongozi wa nchi hii kupinduapindua mambo kwa matakwa yao pasi kuushirikisha umma, alichokifanya Ndalichako amekifanya katika namna ileile aliyoitumia Mtangulizi wake kufuta mfumo wa devision na kuuleta huu wa GPA, The issue supposed to be submitted to public debate in order to come with a good and suitable solution to the extent that one can defend the decision with reasonable arguments, hii ingejenga msingi imara na kwamba yeyote ajaye na kutaka kuover rule atapaswa ajipange kwa sababu hasa za kwanini anataka kubadili mfumo! I am willing to concur with Professor Kitila Mkumbo herein. "
Hili la upangaji wa madaraja ya kufaulu (grading system) linapaswa kutufurahisha kidogo, na kutuudhi sana!

Miaka mitatu iliyopita serikali ilipoleta pendekezo la kubadili mfumo wa madaraja ya ufaulu katika elimu msingi baadhi yetu tulipinga. Kimsingi wataalamu wote wa elimu tulipinga hili jambo. Tulipinga kwa sababu tulibaini nia ovu ya serikali katika jambo hili. Nia yenyewe ni ukweli kwamba serikali ilikuwa inatafuta namna ya kuficha aibu ya wanafunzi wa kidato cha nne kuendelea kufeli katika mitihani ya mwisho. Kufikia mwaka 2012 zaidi ya asilimia 60 ya watahiniwa walifeli mitihani ya kidato cha nne. Kilio cha umma kilikuwa kikubwa. Kwa kutambua kwamba ilikuwa haina muujiza wa kurekebisha hili, huku tukielekea katika uchaguzi wa mwaka 2015 na kwa kutaka kuepuka kuadhibiwa na wananchi katika sanduku la kura, serikali ikaibuka na uamuzi wa kubadili mfumo wa kupanga madaraja. Ndiyo ikaja na huu mfumo wa GPA. Na kwa kweli mara baada ya kubadili mfumo wa kufaulu, ghafka kiwango cha kufaulu kikapanda katika mitihani ya mwaka 2013 na 2014 na serikali kupitia kwa Waziri Kawambwa ikaanza kujivunia mafanikio katika elimu. Wenye akili tulicheka vicheko vya kubeza!
Kwa hiyo uamuzi wa Profesa Joyce Ndalichako (WEST) wa kurudi katika mfumo wa zamani wa Division ni wa kupongezwa kwa kiasi fulani kwa upande mmoja, lakini pia ni uamuzi unaouudhi kwa upande mwingine, kama nitakavyoeleza hapa chini.
Kimsingi mfumo wa GPA sio mbaya kama mfumo. Nchi nyingi duniani zinatumia mfumo huu wa GPA. Tatizo la kwetu ni kwamba tulishusha viwango vya kufaulu. Hili ndilo tatizo la msingi, lakini sio mfumo wenyewe wa GPA. Naamini Prof. Ndalichako analijua vizuri jambo hili kwa kuwa yeye ni mtaalamu mahiri wa upimaji katika elimu (educational assessment) na uzoefu wa miaka takribani nane ya kuendesha Baraza letu la mitihani.
Uamuzi wa Profesa Ndalichako unaudhi kwa sababu unatukumbusha machungu ya Ndugu Mungai aliyebadili mitaala kibabe bila sababu za msingi za kitafiti na kisayansi, wala kushirikisha wadau wa elimu. Leo mwalimu wangu Prof. Ndalichako amebadili mfumu huu bila mjadala wowote mpana kitaifa. Hakuna taarifa ya kitafiti. Hakuna uchambuzi yakinifu. Hakuna Kamati ya Bunge iilyokaa na kujadili. Hatujui waziri mwingine atakayekuja miaka miwili, mitatu, mitano au kumi ijayo atakuja na nini. Hili ni jambo linalotisha katika nchi inayofanya bidii ya kujenga demokrasia na mfumo wa utawala bora. Hata kama uamuzi ni mzuri kiasi gani lakini mfumo wa kufanya maamuzi unaacha ukakasi mkubwa mno. Kwa mtindo wetu wa kufanya maamuzi tunakuwa nchi isiyotabirika wala kuaminika. Tutakuwa na maswali ya kujibu kila siku tunapohusiana na wenzetu katika mataifa mengine. Miaka miwili iliyopita tumekuwa na kazi ya kuwaeleza wenzetu katika nchi nyingine kwamba tulibadili mfumo wetu wa madaraja ya kufaulu na sasa tunatumia GPA. Sasa siku chache zijazo tutaanza tena kuwaambia wenzetu kwamba ooh samahanini tumebadili tena na sasa tunarudi kule kwa zamani. Ebo!!
Tusikubali kuzoea mambo makubwa kama haya yafanywe na mtu mmoja mwenye dhamana au serikali peke yake. Mambo haya yaanze na uchambuzi wa kisayansi, yafuatiwe na mjadala wa kitaifa na maamuzi ya mwisho yafanywe na Bunge au Kamati husika ya Bunge baada ya serikali kuyawasilisha na kushawishi. Ni sahihi kabisa kwa waziri kuwa na mawazo na mapendekezo yake ya kisera. Lakini si sahihi waziri peke yake kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi makubwa ya kutuathiri na kuathiri nchi leo na kesho. Kazi kubwa ya waziri iwe ni kuibua sera na kushawishi ubora wa sera husika lakini uamuzi wake lazima ufuate mkondo mpana wa kitaifa ili hatimaye uamuzi huo tuweze kuumbatia wote kama taifa bila ukakasi. Ifike mahala tuimarishe nguvu za kitaasisi na kimfumo katika maamuzi ya kisera badala ya kutegemea nguvu za mwanasiasa mmoja mmoja mwenye madaraka".

Kindergateni One,

nakuunga mkono hapakuwepo sababu za msingi wakati walipobadili kutoka divisions kuja GPA mbali na kuwaongopea wadanganyika kwamba kiwango cha elimu kimepanda. Hizi mbwembwe pia zimeendelea kuonekana wanapotaja neno Big Reuslts Now (Matokeo Makubwa Sasa). Hivi ni kichaa gani anayewaza kuwa na mabadiliko makubwa bila kufanya chochote bali maneno? How do you expect changes without intervention? Hiyo ni miujiza ya Tanazania.

Hii naifananisha wimbo wa uitwao 'kisa cha mpemba' ambako mzee wa watu alishangaa na kushutuka ni wapi maini yametoka wakati kaacha pesa kidogo. Hivi kwa nini sisi hatushutuki?

GPA kama GPA haina tatizo lolote bali ni swala la kuipandisha tu. Unaweza kuitafsiri GPA kama ifutavyo 1.1-2 (21-40% ), 2.1- 3(41-60% ), 3.1-4 (61-80%), na 4.1-5 (81- 100). Hivyo unaweza kusema waliofaulu waanze na GPA ya 1.5 badala ya kuishusha ikawa 1 au chini yake.

Kwa mantiki hiyo unaweza kuona kwamba GPA kama GPA haina tatizo sawa na unavyoweza kusema division iv ianzie na point 40..
 
Nadhan Prof. Kitila is too good to support the argument. Bora waziri karudisha ule utaratibu wetu from now on acha research ziendelee. Pale Udsm kuna research zilizotumiwa kuwapa watu ma-merit zao lakini ukija kwenye ulimwengu wa kazi , what is research finding? Waziri hongera kama tuna maswali tutauliza simamia vizuri hzi division.
 
Kindergateni One
nakuunga mkono hapakuwepo sababu za msingi wakati walipobadili kutoka divisions kuja GPA mbali na kuwaongopea wadanganyika kwamba kiwango cha elimu kimepanda. Hizi mbwembwe pia zimeendelea kuonekana wanapotaja neno Big Reuslts Now (Matokeo Makubwa Sasa). Hivi ni kichaa gani anayewaza kuwa na mabadiliko makubwa bila kufanya chochote bali maneno? How do you expect changes without intervention? Hiyo ni miujiza ya Tanazania. Hii naifananisha wimbo wa uitwao 'kisa cha mpemba' ambako mzee wa watu alishangaa na kushutuka ni wapi maini yametoka wakati kaacha pesa kidogo. Hivi kwa nini sisi hatushutuki?
GPA kama GPA haina tatizo lolote bali ni swala la kuipandisha tu. Unaweza kuitafsiri GPA kama ifutavyo 1.1-2 (21-40% ), 2.1- 3(41-60% ), 3.1-4 (61-80%), na 4.1-5 (81- 100). Hivyo unaweza kusema waliofaulu waanze na GPA ya 1.5 badala ya kuishusha ikawa 1 au chini yake.
Kwa mantiki hiyo unaweza kuona kwamba GPA kama GPA haina tatizo sawa na unavyoweza kusema division iv ianzie na point 40
Hawapandishi kama mafungu ya nyanya wwe
 
Kwa msiokua na fikra za mbali ameshindwa kumwelewa Prof Mkumbo! Kinachozungumzwa hapa ni hakuna consistance! Kila awamu ni kubadili mfumo tu, kila waziri na lake! Kilichotakiwa hapa ni kuboresha mfumo hasa kupandisha alama za ufaulu badala ya kuzishusha.
 
Mpaka sasa ukiniambia nitetee uamuzi wa waziri wa elimu Mh Joyce Ndalichako wa kufuta mfumo wa GPA na kurudisha ule wa madaraja yaani DEVISION siwezi nikawa na sababu za msingi hasa kwani sipo kwenye akili yake ninachokiona ni muendelezo wa viongozi wa nchi hii kupinduapindua mambo kwa matakwa yao pasi kuushirikisha umma, alichokifanya Ndalichako amekifanya katika namna ileile aliyoitumia Mtangulizi wake kufuta mfumo wa devision na kuuleta huu wa GPA, The issue supposed to be submitted to public debate in order to come with a good and suitable solution to the extent that one can defend the decision with reasonable arguments, hii ingejenga msingi imara na kwamba yeyote ajaye na kutaka kuover rule atapaswa ajipange kwa sababu hasa za kwanini anataka kubadili mfumo! I am willing to concur with Professor Kitila Mkumbo herein. "
Hili la upangaji wa madaraja ya kufaulu (grading system) linapaswa kutufurahisha kidogo, na kutuudhi sana!
Miaka mitatu iliyopita serikali ilipoleta pendekezo la kubadili mfumo wa madaraja ya ufaulu katika elimu msingi baadhi yetu tulipinga. Kimsingi wataalamu wote wa elimu tulipinga hili jambo. Tulipinga kwa sababu tulibaini nia ovu ya serikali katika jambo hili. Nia yenyewe ni ukweli kwamba serikali ilikuwa inatafuta namna ya kuficha aibu ya wanafunzi wa kidato cha nne kuendelea kufeli katika mitihani ya mwisho. Kufikia mwaka 2012 zaidi ya asilimia 60 ya watahiniwa walifeli mitihani ya kidato cha nne. Kilio cha umma kilikuwa kikubwa. Kwa kutambua kwamba ilikuwa haina muujiza wa kurekebisha hili, huku tukielekea katika uchaguzi wa mwaka 2015 na kwa kutaka kuepuka kuadhibiwa na wananchi katika sanduku la kura, serikali ikaibuka na uamuzi wa kubadili mfumo wa kupanga madaraja. Ndiyo ikaja na huu mfumo wa GPA. Na kwa kweli mara baada ya kubadili mfumo wa kufaulu, ghafka kiwango cha kufaulu kikapanda katika mitihani ya mwaka 2013 na 2014 na serikali kupitia kwa Waziri Kawambwa ikaanza kujivunia mafanikio katika elimu. Wenye akili tulicheka vicheko vya kubeza!
Kwa hiyo uamuzi wa Profesa Joyce Ndalichako (WEST) wa kurudi katika mfumo wa zamani wa Division ni wa kupongezwa kwa kiasi fulani kwa upande mmoja, lakini pia ni uamuzi unaouudhi kwa upande mwingine, kama nitakavyoeleza hapa chini.
Kimsingi mfumo wa GPA sio mbaya kama mfumo. Nchi nyingi duniani zinatumia mfumo huu wa GPA. Tatizo la kwetu ni kwamba tulishusha viwango vya kufaulu. Hili ndilo tatizo la msingi, lakini sio mfumo wenyewe wa GPA. Naamini Prof. Ndalichako analijua vizuri jambo hili kwa kuwa yeye ni mtaalamu mahiri wa upimaji katika elimu (educational assessment) na uzoefu wa miaka takribani nane ya kuendesha Baraza letu la mitihani.
Uamuzi wa Profesa Ndalichako unaudhi kwa sababu unatukumbusha machungu ya Ndugu Mungai aliyebadili mitaala kibabe bila sababu za msingi za kitafiti na kisayansi, wala kushirikisha wadau wa elimu. Leo mwalimu wangu Prof. Ndalichako amebadili mfumu huu bila mjadala wowote mpana kitaifa. Hakuna taarifa ya kitafiti. Hakuna uchambuzi yakinifu. Hakuna Kamati ya Bunge iilyokaa na kujadili. Hatujui waziri mwingine atakayekuja miaka miwili, mitatu, mitano au kumi ijayo atakuja na nini. Hili ni jambo linalotisha katika nchi inayofanya bidii ya kujenga demokrasia na mfumo wa utawala bora. Hata kama uamuzi ni mzuri kiasi gani lakini mfumo wa kufanya maamuzi unaacha ukakasi mkubwa mno. Kwa mtindo wetu wa kufanya maamuzi tunakuwa nchi isiyotabirika wala kuaminika. Tutakuwa na maswali ya kujibu kila siku tunapohusiana na wenzetu katika mataifa mengine. Miaka miwili iliyopita tumekuwa na kazi ya kuwaeleza wenzetu katika nchi nyingine kwamba tulibadili mfumo wetu wa madaraja ya kufaulu na sasa tunatumia GPA. Sasa siku chache zijazo tutaanza tena kuwaambia wenzetu kwamba ooh samahanini tumebadili tena na sasa tunarudi kule kwa zamani. Ebo!!
Tusikubali kuzoea mambo makubwa kama haya yafanywe na mtu mmoja mwenye dhamana au serikali peke yake. Mambo haya yaanze na uchambuzi wa kisayansi, yafuatiwe na mjadala wa kitaifa na maamuzi ya mwisho yafanywe na Bunge au Kamati husika ya Bunge baada ya serikali kuyawasilisha na kushawishi. Ni sahihi kabisa kwa waziri kuwa na mawazo na mapendekezo yake ya kisera. Lakini si sahihi waziri peke yake kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi makubwa ya kutuathiri na kuathiri nchi leo na kesho. Kazi kubwa ya waziri iwe ni kuibua sera na kushawishi ubora wa sera husika lakini uamuzi wake lazima ufuate mkondo mpana wa kitaifa ili hatimaye uamuzi huo tuweze kuumbatia wote kama taifa bila ukakasi. Ifike mahala tuimarishe nguvu za kitaasisi na kimfumo katika maamuzi ya kisera badala ya kutegemea nguvu za mwanasiasa mmoja mmoja mwenye madaraka".

Kwa hili la kuturudisha kwenye DIVISION kutoka kwenye GPA,wadau tuna muunga mkono Mh. Waziri wa elimu, kwani mfumo huu Watanzania wote tuliuzoea,ila walikuja watu wachache wavivu walio na madaraka wakataka kuwayumbisha Watanzania.Nakumbuka hata Mh. Spika wa bunge la Tanzania wakati huo aliupinga mswada huo wa kubadilisha utaratibu wa ufaulu kutoka DISION kwenda GPA.

Asanteni.
 
Gpa inaleta matokeo fake mengi sana.bora karudisha dvn. Japo elimu yetu imekua kama kata upepo la Singida,upepo unapoelekea ndyo huko huko.kila waziri anabadilisha atakavyo.
 
Kwa msiokua na fikra za mbali ameshindwa kumwelewa Prof Mkumbo! Kinachozungumzwa hapa ni hakuna consistance! Kila awamu ni kubadili mfumo tu, kila waziri na lake! Kilichotakiwa hapa ni kuboresha mfumo hasa kupanfisha alama za ufaulu badala ya kuzishusha.
alialichokifanya Pr. Ndalichako ni sahihi kabisa mfumo wa division ulikuwa umezoeleka na ulikuwa hauna mkanganyiko, hizi za GPA zimeleta mkanganyiko sio kwa wanafunzi tu hadi wazazi
 
alialichokifanya Pr. Ndalichako ni sahihi kabisa mfumo wa division ulikuwa umezoeleka na ulikuwa hauna mkanganyiko, hizi za GPA zimeleta mkanganyiko sio kwa wanafunzi tu hadi wazazi
Ni right kabisa mkuu! But we don't have consistance! Utasikia akitoka Ndalichako atakuja mwingine na interest zake atazirufisha tena GPA.
 
Ahsante mama ndali, Kufuta uchafu na kurudisha usafi haihitaji mjadala wa kitaifa,sasa kama tunahitaji kurekebisha tuanzie hapa pasafi...kuna watu Ni wachafuzi na wametuchafulia sana,kuwa profesa isiwetabu na kusiwafanye kutuletea mabadiliko ya kipuuz yanayotutia gharama bila ya tija.
Swala la kushirikisha wadau Ni jema lakini hatuwezi kukaa mahali pachafu kujadili kuboresha haliyetu.
Wadau si muhimu wawe wabunge,hata walimu wa ngazi tofauti wanatosha kutupa mwongozo,hawa wabunge wa Leo hawana chamno sana maneno maneno yakushawishi kura tu. Wameshindwa hata kuboresha sheria ya manunuzi miaka sasa taifa linapata hasara.
Tukuombe wazir ndali tujengee elimu bora na shirikishi yenye tija isiyo na mbwembwe binafsi kama zamaprof wenzako kina Kapua,Mazembe,kawambwa na yule bingwa wa kuchemsha aliyefuta hata somo la agricultural science
 
Mpaka sasa ukiniambia nitetee uamuzi wa waziri wa elimu Mh Joyce Ndalichako wa kufuta mfumo wa GPA na kurudisha ule wa madaraja yaani DEVISION siwezi nikawa na sababu za msingi hasa kwani sipo kwenye akili yake ninachokiona ni muendelezo wa viongozi wa nchi hii kupinduapindua mambo kwa matakwa yao pasi kuushirikisha umma, alichokifanya Ndalichako amekifanya katika namna ileile aliyoitumia Mtangulizi wake kufuta mfumo wa devision na kuuleta huu wa GPA, The issue supposed to be submitted to public debate in order to come with a good and suitable solution to the extent that one can defend the decision with reasonable arguments, hii ingejenga msingi imara na kwamba yeyote ajaye na kutaka kuover rule atapaswa ajipange kwa sababu hasa za kwanini anataka kubadili mfumo! I am willing to concur with Professor Kitila Mkumbo herein. "
Hili la upangaji wa madaraja ya kufaulu (grading system) linapaswa kutufurahisha kidogo, na kutuudhi sana!
Miaka mitatu iliyopita serikali ilipoleta pendekezo la kubadili mfumo wa madaraja ya ufaulu katika elimu msingi baadhi yetu tulipinga. Kimsingi wataalamu wote wa elimu tulipinga hili jambo. Tulipinga kwa sababu tulibaini nia ovu ya serikali katika jambo hili. Nia yenyewe ni ukweli kwamba serikali ilikuwa inatafuta namna ya kuficha aibu ya wanafunzi wa kidato cha nne kuendelea kufeli katika mitihani ya mwisho. Kufikia mwaka 2012 zaidi ya asilimia 60 ya watahiniwa walifeli mitihani ya kidato cha nne. Kilio cha umma kilikuwa kikubwa. Kwa kutambua kwamba ilikuwa haina muujiza wa kurekebisha hili, huku tukielekea katika uchaguzi wa mwaka 2015 na kwa kutaka kuepuka kuadhibiwa na wananchi katika sanduku la kura, serikali ikaibuka na uamuzi wa kubadili mfumo wa kupanga madaraja. Ndiyo ikaja na huu mfumo wa GPA. Na kwa kweli mara baada ya kubadili mfumo wa kufaulu, ghafka kiwango cha kufaulu kikapanda katika mitihani ya mwaka 2013 na 2014 na serikali kupitia kwa Waziri Kawambwa ikaanza kujivunia mafanikio katika elimu. Wenye akili tulicheka vicheko vya kubeza!
Kwa hiyo uamuzi wa Profesa Joyce Ndalichako (WEST) wa kurudi katika mfumo wa zamani wa Division ni wa kupongezwa kwa kiasi fulani kwa upande mmoja, lakini pia ni uamuzi unaouudhi kwa upande mwingine, kama nitakavyoeleza hapa chini.
Kimsingi mfumo wa GPA sio mbaya kama mfumo. Nchi nyingi duniani zinatumia mfumo huu wa GPA. Tatizo la kwetu ni kwamba tulishusha viwango vya kufaulu. Hili ndilo tatizo la msingi, lakini sio mfumo wenyewe wa GPA. Naamini Prof. Ndalichako analijua vizuri jambo hili kwa kuwa yeye ni mtaalamu mahiri wa upimaji katika elimu (educational assessment) na uzoefu wa miaka takribani nane ya kuendesha Baraza letu la mitihani.
Uamuzi wa Profesa Ndalichako unaudhi kwa sababu unatukumbusha machungu ya Ndugu Mungai aliyebadili mitaala kibabe bila sababu za msingi za kitafiti na kisayansi, wala kushirikisha wadau wa elimu. Leo mwalimu wangu Prof. Ndalichako amebadili mfumu huu bila mjadala wowote mpana kitaifa. Hakuna taarifa ya kitafiti. Hakuna uchambuzi yakinifu. Hakuna Kamati ya Bunge iilyokaa na kujadili. Hatujui waziri mwingine atakayekuja miaka miwili, mitatu, mitano au kumi ijayo atakuja na nini. Hili ni jambo linalotisha katika nchi inayofanya bidii ya kujenga demokrasia na mfumo wa utawala bora. Hata kama uamuzi ni mzuri kiasi gani lakini mfumo wa kufanya maamuzi unaacha ukakasi mkubwa mno. Kwa mtindo wetu wa kufanya maamuzi tunakuwa nchi isiyotabirika wala kuaminika. Tutakuwa na maswali ya kujibu kila siku tunapohusiana na wenzetu katika mataifa mengine. Miaka miwili iliyopita tumekuwa na kazi ya kuwaeleza wenzetu katika nchi nyingine kwamba tulibadili mfumo wetu wa madaraja ya kufaulu na sasa tunatumia GPA. Sasa siku chache zijazo tutaanza tena kuwaambia wenzetu kwamba ooh samahanini tumebadili tena na sasa tunarudi kule kwa zamani. Ebo!!
Tusikubali kuzoea mambo makubwa kama haya yafanywe na mtu mmoja mwenye dhamana au serikali peke yake. Mambo haya yaanze na uchambuzi wa kisayansi, yafuatiwe na mjadala wa kitaifa na maamuzi ya mwisho yafanywe na Bunge au Kamati husika ya Bunge baada ya serikali kuyawasilisha na kushawishi. Ni sahihi kabisa kwa waziri kuwa na mawazo na mapendekezo yake ya kisera. Lakini si sahihi waziri peke yake kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi makubwa ya kutuathiri na kuathiri nchi leo na kesho. Kazi kubwa ya waziri iwe ni kuibua sera na kushawishi ubora wa sera husika lakini uamuzi wake lazima ufuate mkondo mpana wa kitaifa ili hatimaye uamuzi huo tuweze kuumbatia wote kama taifa bila ukakasi. Ifike mahala tuimarishe nguvu za kitaasisi na kimfumo katika maamuzi ya kisera badala ya kutegemea nguvu za mwanasiasa mmoja mmoja mwenye madaraka".

!
!
Kamati ya bunge yenye hawa hawa akina kibajaji, profesa maji marefu? Bora aamue tu profesa
 
Mkumbo sio kosa lake. Kufundisha chuo kikuu mda mrefu kumemfanya aathiriwe na mfumo wa GPA. Prof Ndalichako yuko correct 100%...
 
Back
Top Bottom