MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,360
- 40,143
Huyu Kitila analeta siasa kwenye mambo yasiyohitaji siasa. Hao wananchi anaotaka watoe maoni yao ni pamoja na hawa wa mkwajuni waliogoma kuondoka na sasa mvua zinawaathiri? Na hao wabunge ni hadi kina Lusinde? Aache mtaalamu Ndalichako afanye kazi yake.