Kitila Mkumbo kaa ‘Standby’

Kitila Mkumbo kaa ‘Standby’

Kuna very reliable trusted sources viungani ubalozi Sweden. Ni vijana wangu wana ni brief kila mara maswala sensitive ya taifa le kuwa Kitila Mkumbo akae standby.

Ikumbukwe Kitila ndo alikuwaga choice ya mama lakini Yuda akalazimishwa.

Bado nasubiri updates zingine kutoka kwa vijana wangu wengine Rama na Frenki, huko Dar na Dodoma.

Muwe wavumilivu tu nitazidi kuwa brief na kuwa update.
Riziwani Kikwete
 
Kuna very reliable trusted sources viungani ubalozi Sweden. Ni vijana wangu wana ni brief kila mara maswala sensitive ya taifa le kuwa Kitila Mkumbo akae standby.

Ikumbukwe Kitila ndo alikuwaga choice ya mama lakini Yuda akalazimishwa.

Bado nasubiri updates zingine kutoka kwa vijana wangu wengine Rama na Frenki, huko Dar na Dodoma.

Muwe wavumilivu tu nitazidi kuwa brief na kuwa update.
Huna uono. Makamu atoke Singida na PM atoke Singida.
Hizo akili za wapi?
 
..haiwezekani Makamu na Waziri Mkuu wakatoka mkoa mmoja, jimbo moja.
Kama cabinet ina binti wa bibi Kizimkazi na ina mkwe wake pia, Abdul anaiwakilisha nchi kuonana na Museveni na huwa anakuwepo kwenye misafara ya huyo mvaa shanga sasa unadhani kuna kipi kisichowezekana. Embassies zimejaa Wagunya wa Kizenji utadhani population yao ni kubwa kuliko ya Tanganyika, yaani bi Maushuzi huyo anaweza hata kujaza familia moja kwenye hizo nafasi.
 
Kuna very reliable trusted sources viungani ubalozi Sweden. Ni vijana wangu wana ni brief kila mara maswala sensitive ya taifa le kuwa Kitila Mkumbo akae standby.

Ikumbukwe Kitila ndo alikuwaga choice ya mama lakini Yuda akalazimishwa.

Bado nasubiri updates zingine kutoka kwa vijana wangu wengine Rama na Frenki, huko Dar na Dodoma.

Muwe wavumilivu tu nitazidi kuwa brief na kuwa update.
Singida itakuwa na bahati sana, 2 na 3 ?
 
Sasa kila mtu atakuja na jina lake maana hii nchi kama haina mwenyewe sasa.Lakini yote haya shida kubwa ilianza na yule mtakatifu wa Chato sijui huyu bibi alimchota wapi jamani?
Nchi ya ramli
 
Kuna very reliable trusted sources viungani ubalozi Sweden. Ni vijana wangu wana ni brief kila mara maswala sensitive ya taifa le kuwa Kitila Mkumbo akae standby.

Ikumbukwe Kitila ndo alikuwaga choice ya mama lakini Yuda akalazimishwa.

Bado nasubiri updates zingine kutoka kwa vijana wangu wengine Rama na Frenki, huko Dar na Dodoma.

Muwe wavumilivu tu nitazidi kuwa brief na kuwa update.
Mbowe amesha nunua suti. Ni lazima mama aonekane amebalance na opposition
 
Back
Top Bottom