Kitila Mkumbo asimamishwa uongozi UDASA

Kitila Mkumbo asimamishwa uongozi UDASA

Mbali na yote yaliyosemwa kuhusu Mkumbo, bado namkubali huyu mwalimu wangu. I graded him 2nd among my teachers at the university. First was Dr. Kakiko.
 
Prof. Mkumbo yupo makini sana ktk swala la taaluma,alichokosea ni kuingia ktk siasa ni Mwalimu Makini watz wanahitaji Elimu kutoka kwenu achana na siasa.
Mkandala Nkurunzinza ndio tatizo ametumwa kukudhoofisha huyo.
 
Kustaafu kivipi wakati inaeleweka ni mshenzi.Kafukuzwa acha porojo hapa jukwaani
 
Duh kweli tunatofautiana uelewa. Hapa Kitila aliamliwa asiwe mwenyekiti wa kikao kwani yupo rikizo. hajaondolewa uenyekiti wa UDASA wala hajafukuzwa chuo.

Mkuu kama walitumia katiba yao mara asiendeshe kikao wapo waliosema hapana still ni mfanyakazi na anaweza kuendesha kikao,alipoambiwa aendelee yy akagoma,na kusema kuwa atajiuzuru wadhifa huo.tatizo lipo hapo wala haliitaji phD kujua.uprofressor aliopata karibuni ndio tatizo kubwa na wakina mkandala Nchi yetu Tanzania ina mambo ya ajabu sana.
 
Yaani mnatetea kufukuzwa kwa kitila mkumbo? Mbona mnatia aibu? Ndio keshatimuliwa sasa

Ktk swala la taaluma yupo safi sana,ila siasa ndio tunatofautiana nae.Mkandala aondoke ni muda nimesikia kastaafu anakifanya chuo mali yake.
 
Back
Top Bottom