Kitila Mkumbo asimamishwa uongozi UDASA

Kitila Mkumbo asimamishwa uongozi UDASA

Jana ilikuwa siku mbaya sana kwa Kitila, kuondoka ukumbini huku machoi yakimtoka kweli ilikuwa aibu kubwa
 
Huyo hapo mbele ndiye prof Kitila Mkumbo
 

Attachments

  • 1432370596961.jpg
    1432370596961.jpg
    78.9 KB · Views: 751
Siamini prof mkumbo baada ya kuwa kigeu geu lakini ninacho kiona na kukiamini ni kuwa
UDSM kimebakia chungu cha kupika wanasiasa uchwara wa CCM. Ukiwa staff UDSM ukajihusisha na siasa za Upinzani umetemwa na prof CCM.
 
"... madhaifu yake yote ya kitaaluma ..." - sasa walimpaje u-professor kama nao sio dhahifu?
Hapo nami ndio nakuwa na mashaka, au ni uprofesa kama wa Dk. Remmy na wezake akina Dr Profesa!?

 
Kuna baadh ya maneno kama... akatoa maneno ya shombo, au ... madhaifu yake yote! Haya na maneno meng yanaonesha DVSN 5
 
kwahyo amefukuzwaa au amesimamishwa then atarejeshwa tena?
 
Hapo ndipo ninapo washangaa Bavicha kwa kuendekeza chuki na Uchawi....mtoa mada ni mmoja ya muajiriwa wa kitivo cha sheria kaificha hile ID yake ambayo inajulikana na wengi maana hata yeye anaogopa kufukuzwa kazi kama akigundulika ameleta uongo na umbea humu...!

Anafikiri hizi chuki zitamsaidia kupata ubunge.na UKAWA kwenda Ikulu..
 
Mkuu Nyambeya na wajuvi wengine,tuomba kumtambua Katibu wa UDASA athibitishe au akanushe.
 
Sio kweli. Kilichotokea ni kwamba utawala walikuja na hoja kwamba Prof. Mkumbo hastahili kuendelea kuwa kiongozi wa UDASA kwa sababu yupo sabbatical leave. Hata hivyo, wanasheria walibishana na ku-conclude kwamba ukweli hakuna sheria inayomzuia kuendelea kuwa kiongozi wa UDASA. Wanachama waliulizwa wangapi wanataka Prof. Mkumbo aendelee ukumbi mzima ukanyoosha mikono. Hata hivyo, Prof. Mkumbo aliposimama alieleza kwamba pamoja na kwamba ana haki zote za kuendelea kuwa Mkiti wa UDASA anaomba ajiuzulu kwa kuwa inaonekana utawala hawamtaki. Hata hivyo hajakubaliwa bado kwa kuwa inabidi aandike barua. Kuna mjadala mkubwa unaendelea na kuna uwezekano mkubwa barua yake ya kujiuzulu ikakataliwa.

Chanzo cha yote haya ni tabia yake ya kuanza kuandaa tena makongamano Nkrumah ambapo yaliisha katika siku za hivi karibuni. Kilichokera zaidi ni majuzi yeye kuandaa kongamano liliisulubu serikali kuhusu sheria mpya za mitandao na takwimu.
 
Sio kweli. Kilichotokea ni kwamba utawala walikuja na hoja kwamba Prof. Mkumbo hastahili kuendelea kuwa kiongozi wa UDASA kwa sababu yupo sabbatical leave. Hata hivyo, wanasheria walibishana na ku-conclude kwamba ukweli hakuna sheria inayomzuia kuendelea kuwa kiongozi wa UDASA. Wanachama waliulizwa wangapi wanataka Prof. Mkumbo aendelee ukumbi mzima ukanyoosha mikono. Hata hivyo, Prof. Mkumbo aliposimama alieleza kwamba pamoja na kwamba ana haki zote za kuendelea kuwa Mkiti wa UDASA anaomba ajiuzulu kwa kuwa inaonekana utawala hawamtaki. Hata hivyo hajakubaliwa bado kwa kuwa inabidi aandike barua. Kuna mjadala mkubwa unaendelea na kuna uwezekano mkubwa barua yake ya kujiuzulu ikakataliwa.

Chanzo cha yote haya ni tabia yake ya kuanza kuandaa tena makongamano Nkrumah ambapo yaliisha katika siku za hivi karibuni. Kilichokera zaidi ni majuzi yeye kuandaa kongamano liliisulubu serikali kuhusu sheria mpya za mitandao na takwimu.

htutapata ukweli hapa labda je mwenyewe si n memba humu
 
bavicha utawajua;
she.....................i type
gazeti lenu linatangaza habari za ccm
 
Kwani Kitila Mkumbo bila UDSM hamna maisha mbona Prof Baregu alifukuzwa UDSM na maisha yanaendelea.

Kufukuzwa UDASA haina maana kuwa amefukuzwa kazi.Mleta mada either amepotosha au hajatueleza kila kitu!! By the way, Baregu is retired!! He never lost his job!
 
Back
Top Bottom