100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,324
- 37,019
Mzee wa Msoga ndiye alikuwa anasambaza hizo taarifa na kikundi chake ili kumuharibia JPM..Mbona kipindi Cha jiwe alikuwa anapigiwa chapuo aendelee.
Hakuna kipya
Kisima ni kile kile
Maji ni Yale Yale
Ila mwataka kubadilisha kata
Aendelee
Kikipelekwa Kazimkizi utakipataje!Napata maono kabisa 2030 hatuta taka kuachia ngaz KITI hiki kitang'ang'aniwa tuendelee kumilik upya,save huu Uzi.
Zilizungumzwa bungeni na wabunge mbali mbali na hakuwa Mzee wa msoga ila timu ya Sukuma gangMzee wa Msoga ndiye alikuwa anasambaza hizo taarifa na kikundi chake ili kumuharibia JPM..
Wanawake walivyo ❌️Anatoa mfano halisi wa namna wanawake wa siku hizi walivyo. Mwanamke haaminiki.
Yes.Anaweza kugoma kutoka kwa sababu ya kuogopa mashtaka ya mauaji.Pili,uongozi/uongo umemfanya adhanie yupo juu mawinguni/untouchable.Tatu,uhondo,kunyenyekewa na kufanywa nusu-mungu unamfanya mtu kuwa zuzu-nguli.
Ajaribu aone kuku anavyokojoa wima.Yes.
Hasa hili la kuogopa kushtakiwa ndiyo linaniwazisha.. Akiwaza kuwa niache hii Heshima yote nije kuitwa Mtuhumiwa na kuanza kupandishwa Vizimbani ilhali ninaweza ku twist mambo niendelee kuwatawala Mpaka pale Roho itakapoacha mwili..
Nionavyo mimiNapata maono kabisa 2030 hatuta taka kuachia ngaz KITI hiki kitang'ang'aniwa tuendelee kumilik upya,save huu Uzi.
🤔🤔Waislamu hawana shida na madaraka,
Hawajioni Mungu mtu,
Hii shida iko kwa wagalatia, akipata madaraka anajiona Mungu,
Angalia hata huko makazini kwenu, ukiongozwa na mkiristo hasa wa nyanda za juu kusaini au kaskazini lazima mpate taabu,
Wakristo wasio na shida ni wale waliokulia mikoa yenye waislamu wengi,, wanakuwa hawana uchu na madaraka au hawajioni mungu mtu
Mungu hayupo mkuu.Binafsi nimekuwa na hizi hisia muda mrefu..
Mungu tu aingilie Kati.
Tukumbushe mkuuInawezekana maana hata kipindi anaingia kwenye uongozi alisema hana nia ya kuendelea kuwa rais ifikapo 2025... kama mnakumbuka...
Huyu nchi imemshinda , jambo hilo hata hao ccm sidhani kama wanalitakaMbona kipindi Cha jiwe alikuwa anapigiwa chapuo aendelee.
Hakuna kipya
Kisima ni kile kile
Maji ni Yale Yale
Ila mwataka kubadilisha kata
Aendelee
Ila kuiba , kuteka na kuua ndio mambo yenu😁Waislamu hawana shida na madaraka,
Hawajioni Mungu mtu,
Hii shida iko kwa wagalatia, akipata madaraka anajiona Mungu,
Angalia hata huko makazini kwenu, ukiongozwa na mkiristo hasa wa nyanda za juu kusaini au kaskazini lazima mpate taabu,
Wakristo wasio na shida ni wale waliokulia mikoa yenye waislamu wengi,, wanakuwa hawana uchu na madaraka au hawajioni mungu mtu
Umesahau magufuli ndo alitengeneza hii department,Ila kuiba , kuteka na kuua ndio mambo yenu😁