Kiti cha umeme

Kiti cha umeme

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
3,811
Reaction score
1,607
Mwanamke mmoja alikuwa wa ki-leo sana kiasi kwamba sehemu kubwa ya pato lake na mume wake liliishia katika kubadilisha samani na vyombo vya matumizi ya nyumbani na kuweka vya umeme: jiko, sufuria, jokofu, radio, fagio...vyote vya umeme. Mume akawa anajitahidi kukidhi matakwa ya mke wake mpaka wakamaliza mahitaj yote. Mume akafikiri "sasa nitapumua", lakini wapi. Siku moja mke akadai:
"Mume wangu, leo nikirejea kazini nitapita madukani ninunue kiti cha umeme"
Mume wala hakujibu, alipotoka kuenda kazini hakurejea nyumbani hadi leo.
 
Hahahahahaha....! You make ma'day, thanx
 
Hehehehee kifo kilikuwa kinanukia wazi wazi!!
 
Back
Top Bottom