Kiti cha Presidaa kina nini?

Aisee.! Huu si ni utumwa, je m.ganga akimwambia asivae viatu.. Loh bora mie kapuku ila najiachia ninavyopenda.!
 
Kinatembea kila aendapo mkuu hicho kina bajeti yake vingine havifai !

Niliwahi kuuliza hili swali huko nyuma maana tafsiri yangu ni kwamba Rais anaona viti vyote hapa nyumbani 'hamfai', he is special.
Akienda nje ya nchi anakalia kiti chochote anachopewa, inakuwaje hapa nchini asifanye hivyo? Mchina, Mjerumani, Muhindi, Mmarekani, M-South Africa akimpa kiti swa lakini sio kiti anachopewa na Mmakonde, Msukuma au Mpare!

Huu ni utumwa wa fikra.
 
Ndio maana ana wasaidizi kibao katika safari zake!!! Kumbe wengine ni wa kubeba mobile chair ya mkulu, duu! Nadhani haamini viti vingine vya sehemu anazotembelea anahisi vitakuwa na misumari visije mtobolea serawili buree!
 
Serikali ya TZ hili ni la kawaida tu, kuna mshkaji alikuja kutoka kiwanja, kaenda kufanya kazi Ofisi ya Makamu wa Rais, anakwambia kuna vizee vikihama ofisi lazima kuhama na kiti, na sio kwa sababu za ergonomic advantage.
 
Magwanda saa zingine mnakuwa makomedian, mkikosa vya kuandika mnarukia mpaka kiti?

Ama kwa kweli "akutukanae hakuchagulii tusi"
 
Magwanda saa zingine mnakuwa makomedian, mkikosa vya kuandika mnarukia mpaka kiti?<br />
<br />
Ama kwa kweli <i>&quot;akutukanae hakuchagulii tusi&quot;</i>
<br />
<br />
we umejuaje kama aliyeandika ni magwanda!? Inaonekana unawapenda sana magwanda, kama vp jivue magamba, tukuvike magwanda uwe kamanda!
 
Magwanda saa zingine mnakuwa makomedian, mkikosa vya kuandika mnarukia mpaka kiti?<br />
<br />
Ama kwa kweli <i>&quot;akutukanae hakuchagulii tusi&quot;</i>
<br />
<br />
jibu hoja, kwanini Juha/Vasco anatembea na kiti? Magamba bado mna utumwa wa fikra
 
Magwanda saa zingine mnakuwa makomedian, mkikosa vya kuandika mnarukia mpaka kiti?<br />
<br />
Ama kwa kweli <i>&quot;akutukanae hakuchagulii tusi&quot;</i>
<br />
<br />
njo lala na mie dear, si unajua simba akikosa nyama hula majani?
 
special seat for special pple. Angetafuta covers tofauti basi. Au ndo presidential identity. hata kama ni local kile kitu kinakula flights za kufa mtu. Inawezekana kiko stable sana ili asianguke. Posibly decorated in bagamoyo.
 
Serikali ya TZ hili ni la kawaida tu, kuna mshkaji alikuja kutoka kiwanja, kaenda kufanya kazi Ofisi ya Makamu wa Rais, anakwambia kuna vizee vikihama ofisi lazima kuhama na kiti, na sio kwa sababu za ergonomic advantage.
<br />
<br />
Yaani umenifurahisa sana juu ya knowledge yako on safety issues ulipogusia juu ya ergonomic.Hebu chambua kwa ufupi ergonomic ni nini.
 
Hicho kiti kipo kila ikulu ndogo Tanzania, maalum kwa raisi. Acheni Imani Potofu, jadilini mambo ya maana
 
Samahani wadau, najua suala hili lilishawahi jadiliwa sana humu jamvini, lakini naomba tena kuuliza ili wanaolifahamu vizuri watujuze nasi. Jana usiku taarifa za habari za itv na tbc zilimuonyesha JK akisaini kitabu cha wageni kule VETA Ntwara (sijakosea, ndivyo inavyotamkwa), akiwa amekalia kiti kinachofanana kabisa na kile anachotumia siku zote akiwa Ikulu. Je, ni kile kile ila kilisafirishwa tu kwa kazi hiyo, au vipo vingi hata VETA wanavyo?

Ktk hili suala la kiti tusiingze hisia mbovu au hila ya kisiasa, mimi nadhani ni taratbu za ikulu kwani mimi nmeanza kuliona hili tangu enzi za Mkapa, na kama kuhoji muanzie na Mkapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom