Kiti cha Presidaa kina nini?

Komeo

JF-Expert Member
May 3, 2011
2,498
1,171
Samahani wadau, najua suala hili lilishawahi jadiliwa sana humu jamvini, lakini naomba tena kuuliza ili wanaolifahamu vizuri watujuze nasi. Jana usiku taarifa za habari za itv na tbc zilimuonyesha JK akisaini kitabu cha wageni kule VETA Ntwara (sijakosea, ndivyo inavyotamkwa), akiwa amekalia kiti kinachofanana kabisa na kile anachotumia siku zote akiwa Ikulu. Je, ni kile kile ila kilisafirishwa tu kwa kazi hiyo, au vipo vingi hata VETA wanavyo?
 
Hata kipindi anazunguka mawizarani kile kiti kilikuwa kinaenda kila wizara au ndo mambo ya ulinzi na usalama wa kilaza!
 
We unazan kwnn watanzania wengi wanamchukia! Muhula ulyo pita alikaidi mashart hivyo akamuua kulitekeleza sasa ili angarau apate hata salam na kurudsha heshma!
 
Huenda ni sharti la Shekhe Yahaya kwamba asikalie kiti kingine, ipo siku ****** ataanza kwenda nacho kwenye zile safari zake za kuzunguka dunia. Yetu macho
 
inawezekana anaweza akaki'dismantle na kuki'asemble, ndo maana ni rahisi kwenda nacho popote, viti km hivyo sisi waganga wa jadi lushoto tunavi'design vina masharti yake. teh teh teh teh!
 
Hicho akikiacha nadhani anaweza akaanguka jukwaani.
Kipo kwenye ile bajeti ya ikulu iliyopewa jina la "MAMBO MENGINEYO" iliyopingwa na Mnyika.
 
inawezekana anaweza akaki'dismantle na kuki'asemble, ndo maana ni rahisi kwenda nacho popote, viti km hivyo sisi waganga wa jadi lushoto tunavi'design vina masharti yake. teh teh teh teh!

Oooh tate nane mbavu zangu mie!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom