Kitengo Cha Uzalishaji mazao chini ya wizara ya Kilimo

Kitengo Cha Uzalishaji mazao chini ya wizara ya Kilimo

Smartkahn

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2020
Posts
897
Reaction score
1,507
Training, Research, Regulations and PRODUCTION.

1). Utafiti wa kilimo(TARI)
2).Uthibitishaji wa mbegu(TOSCI)
3).Kudhibiti wa pembejeo(TPHPA & TFRA)
4).Uzalishaji na Usambazaji mbegu(ASA)


5). FIELD(condition) CROP PRODUCTION (FCP).

Mashamba darasa yawe darasa kweli kweli sio kuzugazuga... Kama tunaingia gharama kubwa ku-fund utafiti na Uzalishaji mbegu kwa lengo la kuleta tija(mapato), sasa kwanini dhumuni lenyewe tusilifanye kwa ukubwa wake (seriousness).

Kupitia Maafisa Kilimo kwa kila kanda wanakua na vituo, vilivyowezeshwa kitaalamu, kufanya Uzalishaji bingwa wa mazao... Kwa (tija)faida na elimu ya vitendo yenye hamasa kubwa kwa wakulima.

Huku wakishirikiana na extension officers kwa issues za ku-coordinates na local government.



MUENDELEZO
Mabonde mazuri ya kilimo ambayo bado hayajafunguliwa rasmi na yana potential kubwa endapo yajengewa skimu ya umwagiliaji yasitafutiwa wawekezaji bali yaandaliwe na ipewe hiyo taasisi ya uzalishaji wa kilimo. Huku ikiwezeshwa kimtaji na serikali pasipo kuasiliwa na siasa zake.

Kama vile lilivyo JWTZ, JKT, TANAPA, Basi na taasisi hiyo inakua na nidhamu ya viwango hivyo huku ikisheheni wataalamu wabobevu wa Kilimo na management ambao ni misheni and purpose driven people.

Hiyo taasisi iwe na Mission yakuhakikisha taifa linanufaika maradufu katika pato la taifa kupitia Sekta ya Kilimo.
 
Kwakweli kuandika mpango kazi ni 1 na utekelezaji ni 2, hapo ukiziangalia hizo namba zina muundo miwili tofauti sasa ni tuna malengo ya kweli hizo namba tuzielewe na kuzifwata? Ni mtihani mkubwa sana ktk utekelezaji wa mambo mengi tunayoyaandikia taarifa nzuri kama hizo.
Hebu tuangalie kilimo cha Pamba na Korosho peke yake kungewekezwa nguvu nzuri na ma bwana shamba kushinda humo mashambani kutueliemisha na pembejeo upatikanaji wake basi na upande wa masoko ungalikuwa vyema sana tukaweza kupata faida kwa wakulima na Taifa kwa ujumla.
Hebu tuangalie zao la Kahawa hali kadhalika kila kitu kimebakia kwenye makalabrasha na wakulima kuvunjika moyo uzalishaji umeshuka sana.
Hebu tuangalie uchimbwaji wa malambo kwaajili ya kilimo cha umwagiliaji, kuna kipindi kuliletwa taarifa ya mpango kazi kuchimbwa malambo ya maji kwaajili ya umwagiliziaji na kunwesha Mifugo lakini vyote vimebakia kwenye makalabrasha. Tujifunze kujikosoa na tukubali kukoselewa tutafika mahala kila mmoja wetu akifurahie kilimo.
 
Kwakweli kuandika mpango kazi ni 1 na utekelezaji ni 2, hapo ukiziangalia hizo namba zina muundo miwili tofauti sasa ni tuna malengo ya kweli hizo namba tuzielewe na kuzifwata? Ni mtihani mkubwa sana ktk utekelezaji wa mambo mengi tunayoyaandikia taarifa nzuri kama hizo.
Hebu tuangalie kilimo cha Pamba na Korosho peke yake kungewekezwa nguvu nzuri na ma bwana shamba kushinda humo mashambani kutueliemisha na pembejeo upatikanaji wake basi na upande wa masoko ungalikuwa vyema sana tukaweza kupata faida kwa wakulima na Taifa kwa ujumla.
Hebu tuangalie zao la Kahawa hali kadhalika kila kitu kimebakia kwenye makalabrasha na wakulima kuvunjika moyo uzalishaji umeshuka sana.
Hebu tuangalie uchimbwaji wa malambo kwaajili ya kilimo cha umwagiliaji, kuna kipindi kuliletwa taarifa ya mpango kazi kuchimbwa malambo ya maji kwaajili ya umwagiliziaji na kunwesha Mifugo lakini vyote vimebakia kwenye makalabrasha. Tujifunze kujikosoa na tukubali kukoselewa tutafika mahala kila mmoja wetu akifurahie kilimo.
Yaani wakulima wa Tanzania katika kilimo ni sawa tunacheza,

Asilimia kubwa ushauri wa kiogani na ile potential ya kilimo nchini haitumiki katika viwango na ukamilifu wake.(Under-utilize)

Uwezo wa mtanzania kumudu gharama za kilimo chenye tija ni mdogo sana.

Wataalamu wapo, ardhi ipo ila wakim-recommend mkulima pembejeo za kutumia kwa kiwango gani!? Unakuta tunaitikia tu kwakua uwezo wa kumudu gharama ni mdogo mno.

Hivyo kama wizara ikiingilia kati na yenyewe ikawa inazalisha mwisho wa siku tukijumrisha na wakulima wengine mapato yanaongezeka maradufu.
 
1). Utafiti wa kilimo(TARI)
2).Uthibitishaji wa mbegu(TOSCI)
3).Kudhibiti wa pembejeo(TPHPA & TFRA)
4).Uzalishaji na Usambazaji mbegu(ASA)


5). FIELD(condition) CROP PRODUCTION (FCP).

Mashamba darasa yawe darasa kweli kweli sio kuzugazuga... Kama tunaingia gharama kubwa ku-fund utafiti na Uzalishaji mbegu kwa lengo la kuleta tija(mapato), sasa kwanini dhumuni lenyewe tusilifanye kwa ukubwa wake (seriousness).

Kupitia Maafisa Kilimo kwa kila kanda wanakua na vituo, vilivyowezeshwa kitaalamu, kufanya Uzalishaji bingwa wa mazao... Kwa (tija)faida na elimu ya vitendo yenye hamasa kubwa kwa wakulima.

Huku wakishirikiana na extension officers kwa issues za ku-coordinates na local government.
Umeongea pointi na ushauri mzuri sana
 
mifumo kusomana changamoto sana, hapohapo kuna wanaoenda kutafuta masoko nje ya nchi wanapambana mpaka wanayapata --- wakishayapata linaibuka janga jipya idadi "low volume".

pia wizara ya kilimo ingechukua jukumu la kufanya coordination hata mkulima mpya anapoanza anatakiwa kuelewesha huduma hizo na zote kwa pamoja
 
Back
Top Bottom