MDANGANYWA HUYU
Member
- Jul 30, 2011
- 20
- 5
Halmashauri ya manispaa ya morogoro kitengo cha ardhi inanuka kwa rushwa. Kuna afisa ardhi mmoja anaitwa lusekelo anapora ardhi za wanyonge kama yeye ndiye mwenye ardhi.
Kila ofisi katika manispaa hiyo wanamjua lakini cha ajabu yeye ndio anaendelea kula maisha tu. Amedhulum viwanja kumi eneo la msamvu na kati ya hivyo kamuuzia mfanya biashara maarufu bwana murad au sadiq murad. Eneo la nanenane amepora viwanja sita na kuwauzia wafanyabiashara mbalimbali. Eneo la kihonda amepora viwanja saba. Kila kona ya mji jina limekuwa Lusekelo.
Kila anapolalamikiwa mnyakyusa huyo amekuwa na kiburi na kuwaambia watu hawamfanyi chochote. Kibaya zaidi kuna dada alimfuata kumlalamikia kuhusu haki yake, alimjibu bila aibu kwamba bila kuvua chupi hakuna haki.
Watu wamechoka hawana kwa kwenda nchi hii ni ubabe tu.
Kila ofisi katika manispaa hiyo wanamjua lakini cha ajabu yeye ndio anaendelea kula maisha tu. Amedhulum viwanja kumi eneo la msamvu na kati ya hivyo kamuuzia mfanya biashara maarufu bwana murad au sadiq murad. Eneo la nanenane amepora viwanja sita na kuwauzia wafanyabiashara mbalimbali. Eneo la kihonda amepora viwanja saba. Kila kona ya mji jina limekuwa Lusekelo.
Kila anapolalamikiwa mnyakyusa huyo amekuwa na kiburi na kuwaambia watu hawamfanyi chochote. Kibaya zaidi kuna dada alimfuata kumlalamikia kuhusu haki yake, alimjibu bila aibu kwamba bila kuvua chupi hakuna haki.
Watu wamechoka hawana kwa kwenda nchi hii ni ubabe tu.