Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,504
- 12,176
Tatizo jamaa anapost picha kila baada ya saa toka june alipofika Marekani , shinda imeanzia hapo
Tukiamua wananchi wetu waendelea na shughuli za kiuchumi huku wakichukua tahadhari , nyie vibaraka wa mabeberu mnapungukiwa nini ?Tukitaka kuishi kwa hofu au kutoishi kwa hofu kwetu wewe kinakuwasha nini?
Kwani hapa tunaongelea mtu aliye Tanzania au aliye Marekani?Tukiamua wananchi wetu waendelea na shughuli za kiuchumi huku wakichukua tahadhari , nyie vibaraka wa mabeberu mnapungukiwa nini ?
Mimi si mali, seuze ya serikali.kumbuka ww ni mali ya serikali
Itakua mapunziko tu kama Chattle
Inasaidia kuona kama ni mtu mzima au bado anakimbizana na watoto.Hii tabia ya ku post sijui upo wapi naichukia
Tunaongelea both countries.Kwani hapa tunaongelea mtu aliye Tanzania au aliye Marekani?
Unajua kusoma kwa ufahamu guluguja wewe?
ukijinyonga alafu ukashindwa kufa ndo utajua nn maana ya kuwa ww ni mali ya gvtMimi si mali, seuze ya serikali.
Define "mali".ukijinyonga alafu ukashindwa kufa ndo utajua nn maana ya kuwa ww ni mali ya gvt
Wengine ndio kazi zao hizo na ndio zinawapa mkate . Kwani Shigongo na wafanyakazi wake wanaishije!? Wewe fanya chenye faida kwako, nA wengine watafanya ya kwao ili mradi sheria haivunjwi.Dalili ya kukosa Cha kufanya
Unahangaika kujua mtu anafanya nini?
Umemaliza ya kwako?
Mkuu umeona wapare tu😬😬😬Mpare mpenda sifa akitembea anavuta mgongo hadi kibiongo kishatoka hajitambui
Tabia ya matusi dhidi ya mtu mzima mwenzako mwenye nywele kila mahali inaniudhi humu JF kuliko tabia ya kitenge!najua kusoma kwa ufahamu guluguja wewe?
Sio vikoi kweli?nadhani anauza vitenge.