Kitendo cha watu kulia harusini, tatizo ni nini?

Kitendo cha watu kulia harusini, tatizo ni nini?

Nililia kwa kufurahia kupata kipapa cha kula kila cku
Sio kubanwa na kuulizwa ulizwa huyu nani yule vipi mbona umechelewa kulikoni Leo ushibe namengineyo???
 
Hahahaa sikuhz hamna cha virgin wala nn anawaza tu atakavoishi miaka yote na kibamia
Yataka moyo ujue[emoji23]
Hahaha, kwani we hutaki vibamia? Kama jibu ni ndiyo, basi wewe ni bwawa
 
Hahahaa sikuhz hamna cha virgin wala nn anawaza tu atakavoishi miaka yote na kibamia
Yataka moyo ujue[emoji23]
Alijuaje ni kibamia kama hajakionja?
na kama alishajua jamaa ana kibamia basi asingekubali kuolewa naye.
Yani wanaolia wengi ni virgin,trust me
 
Back
Top Bottom