The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,625
- 47,153
Hii nchi Lowasa pekee ndiye anastahil kuongoza na kutawala. Angalia tu kumzuia imefanya uchumi kuyumba kushuka na serekali kufulia.
Chief, don't be distracted, hizi ngonjera waachie wenyewe. Piga mzigo you will be remembered as a hero...