Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

aisee hapo hakuna baya lolote,wala siyo udini,ni heshima kwa wananchi,serikali haina dini ila watu wana imani zao na dini zao,kwenye kuapishwa mbona wanashika bibilia ama msahafu na hatuhoji,tupunguze kuwa vijana wa hovyoo eti "WAKRISTO TUVUMILIE" uvumilie nini?
Watu wanakua na chuki ambazo hazina msingi...Hata kama ni uhuru wa maoni, haina maana tusiwe objective
 
Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Watu ninyi ndo hamfai hata kuwa mjumbe wa nyumba 10
Ww suala la Raisi kusimamisha hotuba kwa sababu ya adhana imekuuma nn..??
 
Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Nyoko
 
Mkuu, kitaifa imekaa vizuri tu wala hakuna tatizo. Na yeye alisema kuwa ni vema kuheshimu mila na tamaduni zetu.

Hata Rais Uhuru Kenyata alikatisha hotuba yake Adhana ilipoanza kusikika sio tu mbele ya watanzania bali mbele ya viongozi wa kimataifa na kimsingi aliheshimu jambo hilo ilhali yeye ni Mkristo kama wewe.

Sasa sijui wewe umepatwa na hisia gani kiasi uone ni jambo la kujadili.

Lakini pia eneo lile la uwanja wa mpira ni karibu sana na mahala msikiti ulipo. Wote wanatumia vipaza sauti, sio rahisi kusikilizana ikiwa nayeye angeendelea kuhutubia.

Mwisho, utaumia roho bure kwa kuona hata jambo dogo hilo wewe unakwazika. Ingekuwa vibaya kama na wewe umelazimishwa kufanya hivyo bila hiari yako.
Hizi chuki hizi ni vyema tukaanza kuzikemea...Daah mtu unamchukia mtu mpaka una kuwa nity picky
 
Hizi chuki hizi ni vyema tukaanza kuzikemea...Daah mtu unamchukia mtu mpaka una kuwa nity picky
Ndio zao hizo. Chuki chuki chuki.Hata mtu akisema kesho ni Jumatatu pinga.
 
Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.

Vima koya ! Mxiuuuuuu !
 
Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Acha wivu wa kitoto, jana nilikuwa taifa pale Mwai Kibaki amepewa heshima kabla game haijaanza na katikati ya game walipewa dakika 3 za kufungulia swaumu kwa wachezaji waliofunga Ramadhani!
 
Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.

Sipati picha huyu mleta mada iwapo mfanyakazi mwenzake akipata preveleji atajisikiaje!!

Suala la ibada nalo ni baya!!?
 
Back
Top Bottom