Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
cc IGPKwa miaka zaidi ya sita Intelligence ya Polisi ilikuwa ikipokea taarifa za kiusalama zilizoonyesha viashiria vya uvunjifu wa amani kwenye Mikutano ya Chadema na vyama vingine vya siasa na hivyo kupelekea ma OCD kusitisha kufanyika kwa mikutano hiyo.
Toka tarehe 17/03/2021 hali ya Usalama imeimarika sana nchini na Sasa hivi hakuna vishiria vya uvunjifu wa amani Jambo lililopelekea viongozi wa Chadema kuzunguka nchi nzima bila kudhibitiwa Wala kutokea kwa vizingiti na uvunjifu wa Amani.
Niwaombe Jeshi la Polisi waendeleeze hali hii ya ulinzi wa nchi yetu hasa kufanikisha kudhibiti viashiria vya uvunjifu wa amani katika mikutano ya Chadema Kama ambavyo waliweza kudhibiti kwenye Mikutano ya CCM kwa kipindi chote Cha uhai wa CCM.
Nitoe rai kwa umma wa Watanzania kuendelea kudumisha Amani. Lakini pia niwaombe Polisi watusaidie wananchi kujua waliokuwa wanaleta uvunjifu wa amani nchini wamekimbilia wapi au wamepata kazi nyingine zakufanya?
Kigoma huko Bus la Abiria limetekwa! Uzuri wa Amani huwa haina kulemba ikilega kila kiumbe hupoteana.Kwa miaka zaidi ya sita Intelligence ya Polisi ilikuwa ikipokea taarifa za kiusalama zilizoonyesha viashiria vya uvunjifu wa amani kwenye Mikutano ya Chadema na vyama vingine vya siasa na hivyo kupelekea ma OCD kusitisha kufanyika kwa mikutano hiyo.
Toka tarehe 17/03/2021 hali ya Usalama imeimarika sana nchini na Sasa hivi hakuna vishiria vya uvunjifu wa amani Jambo lililopelekea viongozi wa Chadema kuzunguka nchi nzima bila kudhibitiwa Wala kutokea kwa vizingiti na uvunjifu wa Amani.
Niwaombe Jeshi la Polisi waendeleeze hali hii ya ulinzi wa nchi yetu hasa kufanikisha kudhibiti viashiria vya uvunjifu wa amani katika mikutano ya Chadema Kama ambavyo waliweza kudhibiti kwenye Mikutano ya CCM kwa kipindi chote Cha uhai wa CCM.
Nitoe rai kwa umma wa Watanzania kuendelea kudumisha Amani. Lakini pia niwaombe Polisi watusaidie wananchi kujua waliokuwa wanaleta uvunjifu wa amani nchini wamekimbilia wapi au wamepata kazi nyingine zakufanya?
Zilikuwa move za Magufuli kutimiza adhima yake ya kuua upinzani na wala hapakuwa na viashiria vya uvunjifu wa amaniLakini pia niwaombe Polisi watusaidie wananchi kujua waliokuwa wanaleta uvunjifu wa amani nchini wamekimbilia wapi au wamepata kazi nyingine zakufanya?
Kwa miaka zaidi ya sita Intelligence ya Polisi ilikuwa ikipokea taarifa za kiusalama zilizoonyesha viashiria vya uvunjifu wa amani kwenye Mikutano ya Chadema na vyama vingine vya siasa na hivyo kupelekea ma OCD kusitisha kufanyika kwa mikutano hiyo.
Toka tarehe 17/03/2021 hali ya Usalama imeimarika sana nchini na Sasa hivi hakuna vishiria vya uvunjifu wa amani Jambo lililopelekea viongozi wa Chadema kuzunguka nchi nzima bila kudhibitiwa Wala kutokea kwa vizingiti na uvunjifu wa Amani.
Niwaombe Jeshi la Polisi waendeleeze hali hii ya ulinzi wa nchi yetu hasa kufanikisha kudhibiti viashiria vya uvunjifu wa amani katika mikutano ya Chadema Kama ambavyo waliweza kudhibiti kwenye Mikutano ya CCM kwa kipindi chote Cha uhai wa CCM.
Nitoe rai kwa umma wa Watanzania kuendelea kudumisha Amani. Lakini pia niwaombe Polisi watusaidie wananchi kujua waliokuwa wanaleta uvunjifu wa amani nchini wamekimbilia wapi au wamepata kazi nyingine zakufanya?
Kwa mtazamo wangu,hao ndio waliokuwa watu wasiojulikana.Kwa miaka zaidi ya sita Intelligence ya Polisi ilikuwa ikipokea taarifa za kiusalama zilizoonyesha viashiria vya uvunjifu wa amani kwenye Mikutano ya Chadema na vyama vingine vya siasa na hivyo kupelekea ma OCD kusitisha kufanyika kwa mikutano hiyo.
Toka tarehe 17/03/2021 hali ya Usalama imeimarika sana nchini na Sasa hivi hakuna vishiria vya uvunjifu wa amani Jambo lililopelekea viongozi wa Chadema kuzunguka nchi nzima bila kudhibitiwa Wala kutokea kwa vizingiti na uvunjifu wa Amani.
Niwaombe Jeshi la Polisi waendeleeze hali hii ya ulinzi wa nchi yetu hasa kufanikisha kudhibiti viashiria vya uvunjifu wa amani katika mikutano ya Chadema Kama ambavyo waliweza kudhibiti kwenye Mikutano ya CCM kwa kipindi chote Cha uhai wa CCM.
Nitoe rai kwa umma wa Watanzania kuendelea kudumisha Amani. Lakini pia niwaombe Polisi watusaidie wananchi kujua waliokuwa wanaleta uvunjifu wa amani nchini wamekimbilia wapi au wamepata kazi nyingine zakufanya?
Makonda na Sabaya wakiongozwa na mwendazake.wananchi kujua waliokuwa wanaleta uvunjifu wa amani nchini wamekimbilia wapi au wamepata kazi nyingine zakufanya?
Haaa kwa hiyo limetekwa na hao mnaowaita ma s-gangKigoma huko Bus la Abiria limetekwa! Uzuri wa Amani huwa haina kulemba ikilega kila kiumbe hupoteana.
Lini nchi haikua salama?Kwa miaka zaidi ya sita Intelligence ya Polisi ilikuwa ikipokea taarifa za kiusalama zilizoonyesha viashiria vya uvunjifu wa amani kwenye Mikutano ya Chadema na vyama vingine vya siasa na hivyo kupelekea ma OCD kusitisha kufanyika kwa mikutano hiyo.
Toka tarehe 17/03/2021 hali ya Usalama imeimarika sana nchini na Sasa hivi hakuna vishiria vya uvunjifu wa amani Jambo lililopelekea viongozi wa Chadema kuzunguka nchi nzima bila kudhibitiwa Wala kutokea kwa vizingiti na uvunjifu wa Amani.
Niwaombe Jeshi la Polisi waendeleeze hali hii ya ulinzi wa nchi yetu hasa kufanikisha kudhibiti viashiria vya uvunjifu wa amani katika mikutano ya Chadema Kama ambavyo waliweza kudhibiti kwenye Mikutano ya CCM kwa kipindi chote Cha uhai wa CCM.
Nitoe rai kwa umma wa Watanzania kuendelea kudumisha Amani. Lakini pia niwaombe Polisi watusaidie wananchi kujua waliokuwa wanaleta uvunjifu wa amani nchini wamekimbilia wapi au wamepata kazi nyingine zakufanya
Sifa kubwa ya kuajiriwa kuwa polisi ni kuwa mrefu na mwenye mbio kushinda wengine.Kwa miaka zaidi ya sita Intelligence ya Polisi ilikuwa ikipokea taarifa za kiusalama zilizoonyesha viashiria vya uvunjifu wa amani kwenye Mikutano ya Chadema na vyama vingine vya siasa na hivyo kupelekea ma OCD kusitisha kufanyika kwa mikutano hiyo.
Toka tarehe 17/03/2021 hali ya Usalama imeimarika sana nchini na Sasa hivi hakuna vishiria vya uvunjifu wa amani Jambo lililopelekea viongozi wa Chadema kuzunguka nchi nzima bila kudhibitiwa Wala kutokea kwa vizingiti na uvunjifu wa Amani.
Niwaombe Jeshi la Polisi waendeleeze hali hii ya ulinzi wa nchi yetu hasa kufanikisha kudhibiti viashiria vya uvunjifu wa amani katika mikutano ya Chadema Kama ambavyo waliweza kudhibiti kwenye Mikutano ya CCM kwa kipindi chote Cha uhai wa CCM.
Nitoe rai kwa umma wa Watanzania kuendelea kudumisha Amani. Lakini pia niwaombe Polisi watusaidie wananchi kujua waliokuwa wanaleta uvunjifu wa amani nchini wamekimbilia wapi au wamepata kazi nyingine zakufanya?