kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,191
- 16,204
Wengi wanaogopa kuongea ukweli lakini kiuhalisia jeshi la polisi limefanya kazi yake bila upendeleo kwa kuzuia viashiria vya uvunjifu wa amani na kuleta machafuko nchini ikibidi watu hao wakae kwenye mikono salama kwa kuwa wengine wao ni wazoefu wa kuishi kwenye kabati wanaona sifa wasipofinywa.
Kifupi jeshi la polisi linasimamia amani ya nchi kwa ukamilifu endeleeni hivyo hivyo uhuru wa maoni na mikutano wameruhusiwa ila sasa wanataka kuingia na viatu msikitini. Tena waminywe mpaka waseme nani aliye nyuma yao.
Tena si hao tu bado listi yao haijaisha!
Kifupi jeshi la polisi linasimamia amani ya nchi kwa ukamilifu endeleeni hivyo hivyo uhuru wa maoni na mikutano wameruhusiwa ila sasa wanataka kuingia na viatu msikitini. Tena waminywe mpaka waseme nani aliye nyuma yao.
Tena si hao tu bado listi yao haijaisha!