Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,097
- 43,309
1. Unatupa cha nje ili ule cha ndani; ukishapika unakula cha nje na kutupa cha ndani!
Ni nini hicho?
Ni nini hicho?
mlonge.
Nalog off
Ni aina fulani ya mti ambao ni dawa ya magonjwa mengi mno.Mlonge ndio nini?
Ni aina fulani ya mti ambao ni dawa ya magonjwa mengi mno.
![]()
Nalog off
1.HINDI au MAHINDI :smile-big:1. Unatupa cha nje ili ule cha ndani; ukishapika unakula cha nje na kutupa cha ndani!
Ni nini hicho?
1.HINDI au MAHINDI :smile-big:
2.EMBE lakini halipikwi kwahio nabase on first choice!!
1.HINDI au MAHINDI :smile-big:
!
Hindi lina magamba nje unalivua magamba kabla hujalipika na likishaiva unakula zile chembe za mahindi then una tupa lile shina lake!Kiaje...........
Hindi lina magamba nje unalivua magamba kabla hujalipika na likishaiva unakula zile chembe za mahindi then una tupa lile shina lake!
nipigie makofi basi....mimi49 umepatia