Mimi naona hizi kitchen party hazina mashiko au tija kabisa haswa kutokana na wadada wengi kutojifunza lolote la maana na kutia aibu pindi waingiapo kwenye ndoa. Utakuta eti wanafundishana kukata kiuno?! Hivi utamfundisha mtu kukata kiuno unajuaje huko anakokwenda kumegwa atawekwa style gani? Au atakuwa amelalilwa na mtu mkubwa kama tembo? Badala ya kufundishana yaliyo bora kumuenzi mumewe, wanafundishana upupu mtupu!! Au kama Mkimbizwa kwao alivyosema wajifunze kujisafisha vema ili janga la kitaifa la kunuka K liishe. Zipigwe marufuku hizi kitchen Party.