Hii ni bei ya jumla?
jumla katoni moja ni sh 590000 kwa UNION
zinakuwa pcs 20.SISLEY sh 900000 pia zipo 20 kwenye katoni
Hii ni bei ya jumla?
Tropical ni kabila au ni vipi?
Nisalimie Brendan Rogers Na Nahodha Wangu Mpya Jordan Henderson Hapo Uk Na Waambie Wakomae Tuingie Angalau Top Four!
Tropical ni kabila au ni vipi?
hahahahahahaha au unaweza kushindwa kuingia kwako jioni ukaanza kuhangaika na fatuma.Kuna kitasa kinaitwa spider sh. 3000/= kizuri tu kwa maisha ya kijamaa ila muda wowote unaweza kujifungua ndani na kisifunguke hadi jirani aje na jiwe maarufu Fatuma.
Union Ni vizuri na imara ILA tatizo lake nikisoma namba ya kwenye funguo nakwenda kwa wachonga funguo nawatajia namba wananipa funguo ile ile kama yako, tulifunga guest wateja walikuwa wanaibiwa Sana.
Nenda Sumbawanga wanakuuzia kitasa hata ukiwacha mlango wazi hauibiwi.
We hapo unapoishi unafanya hivyo?
Hafele made in Germany. Yale from USA, Union orginal from assa abloy. Vipo mwenge world cinema (hafele) na njia ya kwenda ITV (union & yale)
Tushauri Mkuu baada ya kugundua tatizo hilo ulifanyeje? Manake nimeangalia ufunguo wangu hapa nilienda kuchanga ni kweli No zinafanana na ufungue mwingine uliokuwa umebaki.
sisi tulibadilisha vitasa, tukafunga vitasa vinavyo tumia sleeve ambavyo, hata funguo zikipotea unaenda dukani kununua sleeve unapata na funguo zake
Union original ya UK inauzwa kuanzia sh 75000 mpaka 80000.Union kinauzwa arround 50,000
Orlando kinauzwa arround 50,000
Aiseee na hivi ninavyoambiwa na mafundi wa milango kwamba vinaenda mpaka 150,000/= vitasa vya Union Original kwa milango ya nje! Hii bei iko sawa au mafundi wanataka kunipiga??Hii ni bei ya jumla?
i vya milango ya ndani au nje? Manake nasikia vya milango ya nje vinaenda mpaka 150,000/= original kabisa UnionUnion original ya UK inauzwa kuanzia sh 75000 mpaka 80000.