Hahahaaaa. *****. My what?? Mbona dash.
Sema ama uchezee makonzihahahahahahaha unataka nipigwe eeeeh acha ibaki deshi deshi
kwani vinauzwa ama nifanye consultation na fund selemala
nikisema nitachafua hali ya hewa au unapenda Ole ajue
ibaki siri yetu
Hahahaaa. Utasutwa siku si nyingiiii. Sasa nakuitia ili umuweke bayana. OLESAIDIMU
ujue wengine ukimpeleka chumba kingine anaona umemdhalilisha!!!
mie chumbani kwangu hata dada kuingia hapana, hata kama nipo safari kama hawezi kufanya usafi mwenyewe basi na akitumie hivyo hivyo!
Hiyo 'No entry', kitanda au chumba?
Hahahaaaa. *****. My what?? Mbona dash.
Nashindwa kuelewa kwa nini wanaweka dash aarrghh
ujue
wengine ukimpeleka chumba kingine anaona umemdhalilisha!!!
Nasisitiza Siwezi,
Tofauti na hilo ,binafsi nilisha piga Marufuku kulala kitanda kimoja na Mwanaume mwenzangu.