Kitanda chako na mke au mume Wako

Kitanda chako na mke au mume Wako

Hapa inategemea na mazingira,wengi ambao tayari wamejenga na uwezo wanao watasema haiwezekani
lkn ukirudisha akili nyuma,enzi za kuanza maisha,una chumba kimoja,mke/mme kasafiri na ndugu yako wa jinsia moja amekutembelea je utakubali alale chini kisa hicho kitanda ni chako na mwenza wako?
Mi nadhani kama ni heshima tuiheshimu miili yetu maana ndo yenye dhamana ya kumilikiwa na mmoja nasiyo vitu.
Utakuta mtu ana maawala kibao,lakini anajivunia kwamba hajawahi kulala nao kitanda anachotumia na mwenza wake
hii ndo inaitwa kuchuja mbu,ukameza ngamia.
 
Hivi unajua hata khanga ya mtu alieolewa hupaswi kujivalia bila kupewa? Unaweza kurupua kumbe shmeji yako ndo anavaa akisingwa na mkewe. Unless Kuna shida kweli ya pahali pa kulala!
Id rather tulale wote chini hata ukumbini but not on the matrimonial bed.
 
Si sawa hata kidogo, kama mna vyumba zaidi ya kimoja acha rum yako na nenda ukalale na mgeni wako kwenye rum nyingine kama issue ni kumpa kampani...


Baaaaaaassss.....

Kweli Tupu. Asante
 
Nooooooo!
Chumba kile ni lazima kipewe heshima yake, haifai hata kupiga stori na mgeni ikiwa kuna sebule or chumba kingine!
Haifai kumpa mtu asiehusika mipangilio na hali ya chumba cha wakubwa!
Ni lazima kuekwe mikakati ya kuenclose siri za chumba!
Kwa mawazo yangu: kuhadithia tu chumba kikoje na mpangilio wake haifai!
Kuna baadhi ya me hujiona wako sahihi pale wanapolalama wake zao ni wachafu na kuelezea hata hali ya chumba chao
...
Kwa kufungia: hata chumba kimeremete kuliko almasi haipaswi kumuingiza mgeni, isipokuwa, hakuna sehemu nyengine!
duh! hii kali, kweli unauthamini huo uwanja wa seremala. so nahisi mkisafiri inabidi mkibebe mkifika hoteli mnawambia tumekuja na kitanda chetu. simply because kwa maelezo yako hapo juu sidhani kama unaweza kutumia kitanda walichowahi lala wengine.
 
kwanza hizi habari za watu wazima kulala pamoja nazo si nzuri sana both male and female!iwe ni kwenye hali isiyokua na solution.si maadili mazuri haipendezi!
 
waweza kuwa na vyumba zaidi ila kwa kumuonea aibu au kumpa kampani unamkaribisha kwa room yako na mwenza!!
kampani gani ....si mtu mzima,,mmeongea siku nzima..au anaogopa kulala mwenyewee
 
Mbu mwenyewe haruhusiwi kuingia sembuse binadamu. Nna godoro la ziada akija mgeni atalala sebuleni kama nina chumba kimoja.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hivi unajua hata khanga ya mtu alieolewa hupaswi kujivalia bila kupewa? Unaweza kurupua kumbe shmeji yako ndo anavaa akisingwa na mkewe. Unless Kuna shida kweli ya pahali pa kulala!
Kwa nini mesoma hii post mchana!!!!!!!
Daanh yani imagine mtoto wa kiume umerudi home ghafla unakuta mgeni kapiga kitu chako alokuchagulia mkeo "mume wangu hupendi khanga ila please hii nakupa mie mkeo" sijui unamwambia avue!!!!!!
 
% kubwa ya vyumba vya bongo ni store tuuu coz chumban unakuta kunandoi za maji,jiko,gunia la mkaaa,vyombo vya kupkia n.k xo unalalanae tuuuu c store
 
Chumbani Kwangu tu mgeni haingii itakuwa kulala kitandani Kwangu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom