Kitanda chako na mke au mume Wako

Kitanda chako na mke au mume Wako

Kitabu kikuu kinasema hivi,'Ndoa na iheshimiwe na watu wote na mahali pa kulala pawe safi.'
Sasa unapokaribisha watu wengine mahali pa kulala je unawajua wametoka wapi? Hivi tunajua unaweza pata mikosi kwa kushirikiana na tendo na mtu mwenye mikosi na akakuachia.?! Then ukaipeleka nymbani kwako?
 
Mimi hata fundi wakati anajenga nilitamani hata asiingie huko ila nilikuwa sina jinsi, sio sahihi hata kidogo mtu kuona chumbani kwako sembuse kitandani kwako...Hta kama unaishi chumba kimoja, kwani kuna ulazima alale hapo tuu?kwanini usimpeleke gesti??
 
wakati mwingine hiyo no entry huwa inatokana na wamama wengine kuficha uchafu,yaani unakuta chumba vululu vululu,
lkn anasema ni sehemu maalum asiingie mtu.

Masterbedroom zingine ni kama madanguro. Huwezi jua kipi kipo wapi ? Hata mwenye chumba naye kuja kupata kitu chake ni kazi maana ni hiyo vululu vululu. Halafu watu wa hivi ukikutana naye nje huwezi amini...
 
Its not right, matrimonial bed should be respected visitors/relatives must sleep somewhere else under any circumstance
 
Kama sina kitanda extra au chumba extra siruhusu mgeni kuja kulala kwangu. Hii ni marufuku. Aje kutembea na kusepa
 
No , kitanda cha ndoa kiheshimiwe haiwezakani kabisa. Mgeni atatafutiwa chumba sehemu nyingine, assume umemkaribisha mtu chumbani kwenu afu ghafla mwenzio anarudi ucku, itakuwa aibu.
 
No , kitanda cha ndoa kiheshimiwe haiwezakani kabisa. Mgeni atatafutiwa chumba sehemu nyingine, assume umemkaribisha mtu chumbani kwenu afu ghafla mwenzio anarudi ucku, itakuwa aibu.

Bila shaka mwenza hawezi kuja bila taarifa. Labda kama kaja kufumania.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom