stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,883
- 4,484
Habari MMU!!
Nina swali moja tu! Tuchukulie umeoa/kuolewa. Je, ni sahihi kutumia kitanda unachotumia na mke/mume wako pamoja na wageni endapo mwenza wako hayupo???
Kwa mfano tuseme wife/husband hayupo na umepata mgeni wa jinsia yako. Ni sahihi kulala naye kitanda kimoja unachotumia na mke/mume wako?
NB: Mgeni anaweza kuwa ndugu yako wa damu au swahiba wako wa karibu.
Tujadili!!!!!!!!
Ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi, sio heshima wala adabu kumlaza mtu mwingine kwnye kitanda cha mume na mke hata kama una chumba kimoja