ZENJIBARIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 677
- 1,645
Mkuu ZENJIBARIA naomba nikuulize hii kitu Nina rafiki yangu yeye ni baharia aliwahi kuniambia kuna sehemu ya dunia hii wakipita na meli miezi fulani kunakuwa hakuna jua kabisa ni baridi au kuna kipindi wanaliona jua Kwa mbali na kupotelea huko huko na kuna kipindi jua linakuwepo kama kawaida japo na linakuwa sio kama la huku Kwa maana ya masaa yanakuwa tofauti ya mchana na usiku,
Je hauoni hiyo ni prove kwamba dunia inalizinguka jua na sio jua lipo juu ya uso wa dunia?
kuna wakati jua linakuwa halionekani kabisa upande wa southern hemisphere kwa muda wa miezi mitatu jua linakuwa linazungukia upande wa northern hemisphere
kwa mfano summer ya upande wa kaskazini inaletwa na jua kuwa liko upande wa kaskazini zaidi yaani wakati huu upande wa kusini kunakuwa hakuna jua kabisa na baridi inakuwa kali sana baadi ya maeneo yanakuwa kiza kitupu.
kipindi hiki kinakuwa june mpaka august hata hapa kwetu kipindi hichi ndio kipindi cha kipupwe panakua na ubaridi wa jioni na alfajiri ule kwa maana jua tunalipata lakini sio kama la nov to febuari
ukitaka kuelewa zaidi hii jaribu kusoma jua linaizunguka vipi dunia na season zinapatikana vipi


? So ule tunaouona usiku ni nini?