Kitambue chombo VOYAGER 1

Kitambue chombo VOYAGER 1

Mkuu hapa unaposema kuhusu how unaweza kuchallenge vitu vyenye ukakika sijui unakusudia vitu gani,

Katika mafundisho ya dunia na space hakuna vitu vyenye uhakika ambavyo vipo proven
Kwa mfano baadhi ya vitu visivyo na uhakika na havina proof mpaka Leo

-Gravity haina uhakika ni theory hakuna aliewahi kuthibitisha
-Mzunguko wa dunia ni theory hakuna aliewahi kuthibitisha
-Haijawahipo kuoneshwa practically vipi dongo kubwa kama dunia linaweza kuelea hewani na maji kuweza kuganda kulizunguka dongo wakati limo kwenye vacuum environment ambayo inasemwa space ni vacuum(non pressurized environment)
-hakuna proof ya vipi unaweza kuwa na pressurized environment na non pressurized pamoja bila ya kuwa physical barrier( hapa namasnisha dunia na outer space, dunia ni pressurized environment na outer space ni non pressurized environment, vipi unaweza kuviweka pamoja bila ya kuwa solid barrier

Hapa tuchukue mfano wa mtungi wa gesi, mtungi wa gesi ndio dunia kwa mfano,ndani ya mtungi kuna gesi na kinachoizuia gesi isitoke ni mtungi wa chuma ambao ni physically barrier, yaani atmosphere ya dunia ni pressurized gas na outer space ni non pressurized yaani hakuna pressure,baina ya dunia na outer space hakuna Physical barrier (kama ilivyo mtungi) inayoizuia gesi iliyopo duniani kutoka,Hii inaeezakana vipi.
vaccum ya space ni kubwa sana na ina nguvu kubwa ambayo ndio universe nzima na dunia ni ndogo sana kulingana na universe, vipi pressure ya dunia inaweza kuhimili mvuto wenye nguvu ya infinity ya universe bila ya kuzuiwa na kitu chochote,
Chukulia huo mfano wa mtungi wa gesi ukiwa una tundu na uvuje,gesi yote inatoka wakati baina ya dunia na space pako wazi na gesi haitoki duniani hii inawezekana vipi

Kwa ufupi mambo Yasiyo na uhakika ni mengi sana,kama utakuwa na muda wa kufikiri na kuitafiti,

hii elimu yote ni ya kukaririshwa tu na kuamini yote haina proof,ukiachana na hizo proof za kutengeza kama ambavyo tunaamini kuna proof ya outer sPace kwa sababu watu walikwenda mwezini,tunaamini dunia ni duara aina ya sayari kwa sababu watu walitua kwenye ardhi ya mwezi ambao tumeaminishwa kuwa ni duara aina ya sayari pia,yote hayo sio ukweli tufungue akili kidogo Mwezi hauna ardhi na hakuna anaweza kutua mwezini
Haya mambo ya kutafiti yapo mengi sana lakini lazma uwe na elimu uwezo wa kufikiri sana ili kuhimili utafiti
Mkuutuletee picha ya dunia flat.. halafu sayansi usifikiri ni Kama dini! Kila mtu anaweza kufanya tafiti msingi ufate sheria tu zakiusalama.. jirani zetu Kenya wamesharusha satellite why hawaoni dunia ni flat au nao hawaoni kuwa ni flat..?
Siku kadhaa tu hapa Ethiopia pia wamerusha satellite hivyo hawaoni kuwa dunia ni flat..? Tutafichwa na wangapi..? Kama vipi fanyeni nyinyi tafiti mnaosema dunia ni flat mtuletee picha za dunia flat..

Chaajabu kadri mnavyozidi kubisha ndivyo nnavyozidi kuelewa zaidi vile ambavyo nyinyi hamvioni.. swala Kama la gravity alianza Newton akaeleza ila hakusema how!.. Albert akaja kumalizia ya kuwa a heavy mass bends space and this is how we get gravity.. matter tells how space to curve and space tells matter how to move!.. na tafiti zilifanyika theory ya Jamaa ikawa ikathibitishwa.. so Kama unataka kuwaprove wrong ndugu nenda nawe natafiti zako fanya na experiment au unaweza ukaibuka na theory yako utafiti watakusaidia wao maana hata huyo Albert practical hakufanya yeye moja kwa moja japo alihusishwa maana ndo mwenye theory..

Labda ungetumia hata hizo calculation zao ukawaprove wrong.. Leo hii russia na marekani na uchina na nchi kedekede wote waungane kulaghai watu kuwa dunia ni duara na wakati wengine ni mahasimu wa kutosha!..

Mi naona unatakiwa ukafatilie kiundani zaidi Labda utaelewa zaidi.. sayansi ya anga hivi sasa watu binafsi wameshaanza mpk tafiti na hawashobiki kusema dunia ni flat!.. au na wao wanatudanganya..?

Mwezini nchi nyingi tu hufanya tafiti why hawasemi kuwa hakuna ardhi..?

Ingekuwa ni tafiti inayotoka kwa mmoja tu ndo tungekuwa na ulakini lkn a lot of countries.. Tanzania bado hata kurusha satellite!
 
kuna mambo mengi sana ya kuangalia ambayo yatakuonesha kuwa elimu yote ya space na uhalisi wa dunia ilivyo ni uongo

- wanasema dunia ipo duara kama chungwa lakini ndege zikiruka hazizunguki chungwa zinafika angani zinaweka cruising speed na zinakwenda straight hazilazi pua chini au juu kulizunguka chungwa ambayo ndio shepu ya dunia
-wanasema dunia ni shape ya chungwa kwa hio kila pahala patakuwa na mpindo ili kupata shepu ya chungwa kwa maana hio ukiwa dar zanzibar huwezi kuiona popote kwa maana itakuwa upande wa pili wa mpindo wa dunia na hii zipo formula zake ambayo kwa masafa ya dar to znz ni kama 44km mpindo wa maji ulikuwa uwe kama ulikuwa uwe atleast 60m
-pia hivi majuzi wamesema wanajiandaa ili waweze kutoka kwenye low-earth orbit na waweze kupeleka watu outer sapce wakati mwanzo wamesema washapeleka watu kwenye mwezi ambayo upo beyond low earth orbit.

-sifa moja kuu ya maji popote yalipo ni lazima yawe level,maji hayawezi kupinda kufanya duara,kwa hio hilo duara la dunia maji yanapinda vipi kuweka shepu ya duara,maji ni lazima yatafute level kwa namna yeyote ile,

gravity ni uzushi ,kama gravity ndio inayozuia vitu hapa duniani iweje ndege iliyo ndogo na nyepesi iweze kuishinda gravity na iruke wakati bahari iliyo kubwa sana nzito kuliko kitu chochote hapa duniani isiweze kuishinda gravity'
au kwanini gravity iruhusu mabofu yende angani wakati vitu vizito zaidi vipeshikwa na gravity


ki uhalisia hakuna aliyewahi kufika mwezini na mwezi haupo na ardhi kama ilivyo hapa duniani,sayari zote picha tunazoziona online sio halisi ni michoro tu, picha halisi hazipo clear kama wanavyoonesha hio michoro

mambo ni mengi sana ntarudia tena mengine
Ndugu yangu ww ni mjinga sana, lkn siyo mpumbavu. Unayoyasema hapa ni ujinga mtupu. Bahati nzuri ww ni mjinga, unaweza kuelimishwa ukaelewa. Kwa ujinga wako unafikiri kwa kutumia macho yako bila msaada wa chombo chochote uone Dunia ilivyopinda. Unatia huruma sana.
 
hakuna voyager wala hakuna space exploration hizi zote ni propanganda za uongo mtupu,yote haya ni makatuni ya kuchora,picha zote za space sio za kweli na picha za dunia zote zilizo online zote ni uongo mtupu zote za kuchora hakuna picha ya dunia iliyo kweli,tunavyosomeshwa ni propaganda tu hali halisi ya dunia ilivyo haijasemwa ndio maana tunaaminishwa hizi fantasy
Nasikia ni uongo sana
 
kuna mambo mengi sana ya kuangalia ambayo yatakuonesha kuwa elimu yote ya space na uhalisi wa dunia ilivyo ni uongo

- wanasema dunia ipo duara kama chungwa lakini ndege zikiruka hazizunguki chungwa zinafika angani zinaweka cruising speed na zinakwenda straight hazilazi pua chini au juu kulizunguka chungwa ambayo ndio shepu ya dunia
-wanasema dunia ni shape ya chungwa kwa hio kila pahala patakuwa na mpindo ili kupata shepu ya chungwa kwa maana hio ukiwa dar zanzibar huwezi kuiona popote kwa maana itakuwa upande wa pili wa mpindo wa dunia na hii zipo formula zake ambayo kwa masafa ya dar to znz ni kama 44km mpindo wa maji ulikuwa uwe kama ulikuwa uwe atleast 60m
-pia hivi majuzi wamesema wanajiandaa ili waweze kutoka kwenye low-earth orbit na waweze kupeleka watu outer sapce wakati mwanzo wamesema washapeleka watu kwenye mwezi ambayo upo beyond low earth orbit.

-sifa moja kuu ya maji popote yalipo ni lazima yawe level,maji hayawezi kupinda kufanya duara,kwa hio hilo duara la dunia maji yanapinda vipi kuweka shepu ya duara,maji ni lazima yatafute level kwa namna yeyote ile,

gravity ni uzushi ,kama gravity ndio inayozuia vitu hapa duniani iweje ndege iliyo ndogo na nyepesi iweze kuishinda gravity na iruke wakati bahari iliyo kubwa sana nzito kuliko kitu chochote hapa duniani isiweze kuishinda gravity'
au kwanini gravity iruhusu mabofu yende angani wakati vitu vizito zaidi vipeshikwa na gravity


ki uhalisia hakuna aliyewahi kufika mwezini na mwezi haupo na ardhi kama ilivyo hapa duniani,sayari zote picha tunazoziona online sio halisi ni michoro tu, picha halisi hazipo clear kama wanavyoonesha hio michoro

mambo ni mengi sana ntarudia tena mengine
Katika yote ulosema, sijaona hata moja ambalo naweza kulitia mashaka.
 
sawa sawa mkuu jaribu kufanya hivo,pia kama una themometer ya kupima mwangaza wa mwezi ili uone kuwa mwangaza wa mwezi ni baridi kuliko kivuli chake pasipo na mwangaza. kama utapima utakuta kwenye direct moon light tempature itashuka na kwenye kivuli cha mwezi temprature itapanda
hiki kipimo cha mwangaza wa mwezi kinatuonesha kuwa mwezi haupati mwangaza kutoka kwenye jua,kwa maana ya reflection ya mwangaza wa jua ungekuwa warm kuliko kuwa baridi
inavyoonesha ni kuwa mwezi una mwangaza wake na kazi yake na jua lina mwangaza wake na kazi yake
Baaria hii nitafanyia utafiti_mpya hii kwangu..!
 
Hapa tuchukue mfano wa mtungi wa gesi, mtungi wa gesi ndio dunia kwa mfano,ndani ya mtungi kuna gesi na kinachoizuia gesi isitoke ni mtungi wa chuma ambao ni physically barrier, yaani atmosphere ya dunia ni pressurized gas na outer space ni non pressurized yaani hakuna pressure,baina ya dunia na outer space hakuna Physical barrier (kama ilivyo mtungi) inayoizuia gesi iliyopo duniani kutoka,Hii inaeezakana vipi.
vaccum ya space ni kubwa sana na ina nguvu kubwa ambayo ndio universe nzima na dunia ni ndogo sana kulingana na universe, vipi pressure ya dunia inaweza kuhimili mvuto wenye nguvu ya infinity ya universe bila ya kuzuiwa na kitu chochote,
Chukulia huo mfano wa mtungi wa gesi ukiwa una tundu na uvuje,gesi yote inatoka wakati baina ya dunia na space pako wazi na gesi haitoki duniani hii inawezekana vipi
Seriously mkuu? yaani unakuja na conclusion kwamba vyote ulivyotaja havipo kwa mfano dhaifu wa mtungi wa gesi?

Huwezi kumshawishi mtu anayejitambua mwenye akili timamu kwa mfano kama huo labda mjinga asiyejitambua kuwa ni mjinga.

Huo mfano hauhusiani hata kidogo na uhalisia.


,yote hayo sio ukweli tufungue akili kidogo Mwezi hauna ardhi na hakuna anaweza kutua mwezini
Haya mambo ya kutafiti yapo mengi sana lakini lazma uwe na elimu uwezo wa kufikiri sana ili kuhimili utafiti
Unaweza ukaprove mwezi hauna ardhi?

Leta utafiti uliofanya ukagundua hilo na sio mawazo tu uliyobuni.

tunaamini dunia ni duara aina ya sayari kwa sababu watu walitua kwenye ardhi ya mwezi ambao tumeaminishwa kuwa ni duara aina ya sayari pia,
Unaweza kuprove dunia ni flat?

Leta utafiti uliofanya na sio mawazo ya kubuni na perspectives.

Kwa ufupi mambo Yasiyo na uhakika ni mengi sana,kama utakuwa na muda wa kufikiri na kuitafiti,
Umewahi kufanya utafiti wa aina gani mkubwa.
Nitajie mmoja wapo.


Kingine haujakatazwa kupinga ila kwanini unapinga hivyo vitu havipo?
 
mkuu ntajaribu kukujibu kwa kadri ya uwezo wangu lakini nakusihi ufanye research kwa umakini

kwanza hakuna picha ya ukweli ya dunia ikiwa flat au duara,hizo picha zote za duara zote sio za kweli kila kitu ni photoshop kuna picha moja tu ambayo wanadai kuwa ni ya kweli ambayo waliipiga wakati wanakwenda mwezini,kama unafatilia vya kutosha utagundua kuwa hakuna mtu aliyewahi kwenda mwezini hizo video zao za kwenda mwezini zote za uzushi. kwa hio hio picha ni propaganda tu sio ya kweli. miezi kadhaa nyuma wamesema wanafanya reseach ili watu waweze kupita kwenye van allen belt ambayo ina radiation kubwa sana na madhara makubwa kwa watu lakini wakati huo huo 1969 wanasema watu walipita hapo kwenda mwezini na hawakudhurika kwa sababu walikuwa hawajui kuwa pana radiation,kwa hio kutokujua ndio kumewanusuru watu 1969 kuto kuathirika.

la pili ni hapo uliposema kwanini nchi hizi nyengine kubwa zote zitudanganye?
mkuu hapa lazma uwe unafahamu jinsi ya dunia inavyoendeshwa kwamba usione hizi nchi zikifanya maonesho kuwa wao ni maadui na hawaelewani ,marekani na china na urusi na nchi zote zenye elimu ya juu na mamlaka yenye kufahamu mambo makubwa kama haya wanafanya kila kitu kwa pamoja na zinaendeshwa entity moja kwa ajili ya kuendelea kudanganya uuma ili maisha ya watu duniani yawe in peace,huwezi kujua labda kama tutakuja kuoneshwa kiukweli jinsi ilivyo hii dunia na space pengine sote tutachanyanyikiwa ndio maana kwa mitazamo yao uongo bado unahitajika uendelee na pesa nyingi sana zinatumika kuendeleza propaganda hizi,saivi nchi za uchina,urusi,japan,uk nk zote zina space agencies kama ya nasa kwa ajili ya kuendelea kufanya maonyesho haya na sio space exploration

tatu ukiangalia video za watu na maparachuti unaona duara hii sio kweli kuona duara kutokana na camera hata usiwe na parachuti unaweza kuona duara hapa hapa chini kuna kwa camera ambazi zina fish-eye lens
ndege zinaruka juu zaidi na hazioni duara la dunia seuze mtu na parachuti

mimi nnachoamini ni kuwa shepu ya dunia iliyo halisi haijawahi kuonekana na watu wa kama kama sisi,kwa hio hatuwezi kujua,lakini nna uhakika sio duara kama chungwa na dunia hairuki kwa masafa na speed wanazosema wala haina motion ya aina yeyote,tetemeko la ardhi ndio motion pekee na hio ikitokea watu wanaihisi kiukweli sio hizi speed za miujiza ambazo hatuwezi kuzihisi

jaribu kuitia akilini speed na rotation za dunia
rotation on its axis ni 1674 km per hr
speed ya dunia kuzunguka jua ni 110,000 km per hr
speed ya rotation ya solar system 828,000 km per hr
na milkyway galaxy ina-travel kwa speed hii 3.6mil km per hr
speed zote hizi na rotation zinakwenda kwa wakati mmoja na mielekeo tafauti kila speed inaelekea kwake, haziingii akilini na hatuna uwezo kuzifahamu tukafananisha na kitu chochote ili tukaona ukweli utakavyokuwa

speed ambayo tumewahi kupata idea ni za gari zinapifika 140km/hr na hapo tunaogopa sana wakati speed za dunia ndio kama hizo nazo tunaambiwa ni constant hazibadiliki lakini usiku na mchana masaa yanabadilika mara nyengine usiku unakuwa mkubwa kidogo na/au mchana unakuwa mdogo,kama speed za dunia ni constant kwanini usiku na mchana masaa yasiwe constant kwa sababu rotation iliyo constant ndio inayosababisha usiku na mchana,uhalisi tunaoona ni kuwa usiku unakuwa mdogo na au mchana unakuwa mkubwa baadhi ya time.

pamoja na speed hizi zote ambazo zinakwenda zig-zag kwa wakati mmoja bado unaweza kwenda kwenye ziwa na ukakuta maji yametuwama tulii na dunia na bahari zipo shwarii na sisi hatuoni kizunguzungu wala hizi speed hazitukeri kabisa, ukiuliza kwanini utaambiwa ni law of gravity ndio inayoiwezeshwa dunia kuwa shwari na sisi kuganda hapa
force of gravity inaituliza na kuzuia bahari na maziwa ya maji mazito sana ili yasiganduke kwenye uso wa dunia lakini ndege wanaachiwa waruke na vikaratasi ambavyo ni vyepesi sana na mabofu yanaachiwa yapeperuke ovyo ovyo kwanini hii force ya gravity inachagua cha kuzuia na kuachia na ina nguvu kubwa ya kuzuia bahari lakini ishindwe kuzuia bofu lisruke ambalo ni jepesi sana
ukiuliza kwanini unaambiwa ni law of relativity ambayo inatowa jawabu za mahusiano baina ya vitu hivi na vyengine kwa nini hiki kinaweza na kile hakiwezi

kila kitu kina law lakini ukweli tu ndio unaofichwa hapa, ndio maana tunafata law za uongo law za kutengeneza ili kujenga hoja za uongo ili tusiziamini hisia zetu

hisia zinazoonsha kuwa
hatuwezi kuihisi mizunguko ya dunia kwa kwa sababu dunia haizunguki wao wanasema wanajua dunia inazunguka
hatuwezi kuuona mpindo wa dunia ilivyo duara wao wanasema upo lakini hatuna uwezo wa kuuona
uhalisi ni kwamba dunia haizunguki na hakuna mpindo wa duara ndio mana hatuhisi mizunguko na hatuoni mipindo ya duara la dunia
Wenzetu wanatumia pesa nyingi na vyombo vya maana "kutudanganya" kama ulivyodai, wewe unatumia nini ili tuone kuwa tunadanganywa?
 
kila kitu kinachohusu space sio kweli pamoja na hio space yenyewe yote,picha zote za sayari zote,rover,satelites kila kitu ni photoshop,kwa mitazamo ya haraka haraka sio rahisi kufahamu lakini chungunza kila kitu unnaweza kuona kuwa hakuna proof ya mambo yote hayo,proof kubwa iliyopo ni kwenye mifumo yetu ya elimu tumefundishwa hivo na matangazo ya kwenye vyombo vya habari wanatangazia bas na sisi tunasikia na kuamini kila kitu
Mkuu vp kuhusu kupatwa kwa mwezi na jua maana wanasayansi hutupa taarifa mapema ya kupatwa dk sekunde mpaka saa ya tukio Hilo kitakachotokea na ndivyo inavyokuwa je nayo inakuwaga ni photoshop au hebu fafanua nalo hili kwa undani ili uweze kutufumbua mengi zaidi...
 
Mkuu huu uzi nilijibizana sana na watu jaribu kuzipitia comments zangu nadhani jibu la hiki swali utakikuta sehemu,ni vuzuri ukazisoma ili ukipata jibu uwe ushapata na mengine na jibu liweze ku-make sense,jibu la mkato peke yake litakuchanganya tu.

Lakini kwa kujazia nyama hili swali,niseme hili kuwa sisi waswahili tuna neno ulimwengu,kwa sasa ulimwengu linamaanisha universe labda,ila hatujui ni neno lipi lilokuja mwanzo kama ni universe au ulimwengu.
Kinadharia ulimwengu kwa sisi waswahili ni dunia ambayo haina mwisho, au kwa kiingereza ulimwengu ingemaanisha realm kwa usahihi,na realm ni Physical environment Ambayo haina mwisho kwa mtazamo wa aliemo ndani ya realm
samaleku ostaziii.....😅vipi Allah kakujaalia umri na afya mwaka huu? 😎
 
hakuna voyager wala hakuna space exploration hizi zote ni propanganda za uongo mtupu,yote haya ni makatuni ya kuchora,picha zote za space sio za kweli na picha za dunia zote zilizo online zote ni uongo mtupu zote za kuchora hakuna picha ya dunia iliyo kweli,tunavyosomeshwa ni propaganda tu hali halisi ya dunia ilivyo haijasemwa ndio maana tunaaminishwa hizi fantasy
Mhhh hebu funguka mkuu
 
nimemaliza elimu ya dini na elimu ya dunia nnayo ya juu kidogo, jaribu kuzipitia post nlozojibu kwenye huu uzi unaweza kufahamu baadhi ya mambo nnavyoyaona mimi
na sio kama napinga ila natoa mitazamo na maswali kutokana na hisia zetu tu
You're so Humble
 
Unajua ukiwa stesheni ndani ya train,halafu train nyingine ikawa inaondoka utafikiri train uliyokuwemo ndio inayoenda lakini ukiobserve vizuri utaona ile inayotembea ni train gani.
Hata katika gari Huwa Iko hivi
 
Back
Top Bottom