zema21
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 619
- 251
- Thread starter
- #21
lengo si kutafuta ushabiki au kusifiwa tujaribu kujitafakari na kukubali ukweli sio mkikosolewa mnakuja juu na matusi...JF ina majukwaa mengi sana, angalia jukwaa ambako post yako ita-fit
kuweni wenye hekima na busara japo kidogo unapokosea kubali umekosea sio unalazimisha watu wakukubalie kwa lugha kali!
kwanza hata mnavyochangia hii thread mnadhihirisha jinsi thread yangu unaukweli manake lugha mlizojibia hazina mashiko hata kidogo