Kitachompata Iran, kitaweka Historia

Kitachompata Iran, kitaweka Historia

Heheheheh
hayo ya drone mbona yalikuwa yameshapoa, kinacho escalate mambo sasa hivi ni kulipuliwa kwa hizo site za mafuta za Saudia na hao wanaodaiwa kuwa waasi wa Houthi, ambao wapo backed na Iran, hata kama Iran hajalipuwa yeye moja wa moja atakuwa anahusika kwa kuwa yeye ndio anayewafadhili hao waasi,
Watu hawataki vita lakini uvumilivu una kiwango chake
Hata Haya Yavisima Yashapoa Vile Vile Maana Kama Wangekua Wafanyaji Sasa hv Kungelikua hakukaliki Mashariki Yakati


Kiufupi Jamaa Zako US Hawajiamini Kuingia Mzigoni Na WAAJEMI
 
Sawa kiuchumi amemwacha mbali Russia ila ukj kwny millitary case hawajapshan sana na Russia ndo maan mpk sasa USA hathubut kuongea pumba kwa Russia hat uchaguz wa marekan uldukuliwa na Russia na hata hvy hucje ukadharau mataifa ambayo unayoyaon sio kitu kwa USA coz hayo mataifa kama China Russia na N.Korea lengo lao ni moja 2 kumpga USA.
Jaribua hata kufuatiia mlltary power ya USA Russia na China hawajapshana sana.juulze je cku hao Russia China na N.korea wakiungan itakuaj na washirika wa USA ni Israel na Uk
kwa hiyo kwa akili yako unadhani, Russia ata risk kuingia kwenye vita na Marekani kisa Iran? unajua gharama ya kuingia kwenye vita hiyo, Russia ni mjinga wa kuingia kwenye vita na nchi yenye jeshi na uchumi mkubwa zaidi duniani kwa ajili ya Iran? hahaa
 
hayo ya drone mbona yalikuwa yameshapoa, kinacho escalate mambo sasa hivi ni kulipuliwa kwa hizo site za mafuta za Saudia na hao wanaodaiwa kuwa waasi wa Houthi, ambao wapo backed na Iran, hata kama Iran hajalipuwa yeye moja wa moja atakuwa anahusika kwa kuwa yeye ndio anayewafadhili hao waasi,
Watu hawataki vita lakini uvumilivu una kiwango chake
Wana subiri nini kumchapa huyo mdhaifu Iran kweli ndie anayefadhili inajulikana!!
Unahisi atachapwa lini? 🤔
 
kama kuna wafanyabiashara makini huu ndo mda wa kuagiza mafuta hata pipa milioni mbili,uwezekano wa hii vita kutokea sasa ni 97%,
mafuta yatakuwa juu sana,

leo saudi wameomba msaada wa mafuta pipa milioni 20 toka iraq ili waweze kucover order zao,

wenye filling station huu ndo wakati wa kujiandaa na stock ya kutosha ya mafuta
Mjomba hakuna Vita kupiga Iran ni kuifanya Saudi Arabia ianze tena moja maana mizigo itakayo shuka hapo itakuwa tambarare!
 
Wana subiri nini kumchapa huyo mdhaifu Iran kweli ndie anayefadhili inajulikana!!
Unahisi atachapwa lini? 🤔
kumchapa sio ishu, ishu ni baada ya kumchapa itakuaje? Iran isije kuishia kuwa failed state nyingine tena
 
kwa akili za irani hawachelewi hata kuwapa waasi wa houth bomu la nyuklia waipige saudia au wakawapa hezzbulla waipige israeli maana jamaa hana cha kupoteza wala hajali chochote
Wewe unaichukulia Israel kama Yemen. Umesahau alivyowaua wanasayansi wa Iran na kulipua vinu vyao vya nyuklia. Akigonga Israel wanampasua hata bila ya msaada wa USA
 
Jiulize why USA is undecisive ?
Kwanza ujue ni kuwa Trump alichaguliwa na kundi kubwa la watu wasipenda vita na uchaguzi wa term ya pili unakaribia, lakini pia vita vikitokea huenda Iran akashambulia nchi jirani ambazo ni washirika wa USA. Nje ya hapa ni kuwa pamoja na support ya Urusi na China bado hawezi mtikisa Mmarekani, shida ndio hiyo hatashinda na wala hatakubali afe mwenyewe.
 
Ni hivi hivi mlimpamba Gaddafi mwisho wa siku wakamuua kama panya
Hakuna Vita Mkuu! Hakuna Taifa kwasasa linalotaka kuingia na Iran ni kweli Aya mashambulizi yanamafungamano na Iran ata zile tanker za mafuta zilizokua zinakipuliwa ni Iran ila nani wa kumfunga paka kengere? US hana hamu na vita na Iran kwan anajua jamaa wamejiandaa miaka kenda hao Waarabu wanamuogopa muIran na wanamsukumia mzigo US ndo wawe nyuma yao! US walisha prove kua zile drone na cruise missile ni Iranian made and were lunched from south-North of Iran na wao Saud wameonesha mpaka na mabaki wakisema hizi ni Silaha za Iran na Trum since day one alisema anasubiria Saud wathibitishe ndo nae alipize...Leo Secretary Pompeo yuko UAE akitafuta coalition ya diplomasia wakati waziri wa mambo ya Nje wa Iran kasema jaribio lolote la kulipiza liwe la US au Saudi wenyewe watajibu kwa vita kamili Pompeo akanywea
 
Lini israel alilipua nyuklia za Iran?
Wewe unaichukulia Israel kama Yemen. Umesahau alivyowaua wanasayansi wa Iran na kulipua vinu vyao vya nyuklia. Akigonga Israel wanampasua hata bila ya msaada wa USA
5d8365a885f54045847aca48.jpeg
 
Kweli unaweza fananisha Gaddafi mnunuwa silaha na Iran mtengeneza silaha za kisasa kabisa na za high tech au mjomba huijuwi iran?
Kununua silaha siyo shida hata marekani hununua silaha, shida ni silaha gani unatengeneza, high tech zaidi ya kumshinda mmarekani? Iran anasaidiwa kisirisiri na Mrusi, Mchina na Korea Kaskazini na hawawezi kumpa technolojia yote, usidanganye Iran siyo super power.
 
Sawa kabisa mkuu je umewaza Saudi Arabia itabakia katika Hali gani au Iran wana manati tu!
USA, Israel, Saudia, UAE, Kuwait na washirika wengine wa kiarabu wakiamua kumfanyia shambulio la kushtukiza Iran watampoteza kabla hata hajaweza kujibu mkuu, sema vita sio kama unawinda ndege, kuna madhara mengine mengi ambayo hayatabiriki yanaweza kujitokeza hata kama umemshinda adui
Sema Iran akiendelea na provocation nadhani hilo halitaangaliwa tena
 
USA, Israel, Saudia, UAE, Kuwait na washirika wengine wa kiarabu wakiamua kumfanyia shambulio la kushtukiza Iran watampoteza kabla hata hajaweza kujibu mkuu, sema vita sio kama unawinda ndege, kuna madhara mengine mengi ambayo hayatabiriki yanaweza kujitokeza hata kama umemshinda adui
Sema Iran akiendelea na provocation nadhani hilo halitaangaliwa tena
hakuna waku anazisha Vita na Irani mkuu
Siku wakianzisha nitafute nikupe zawadi mkuu ata kama ni 10GB
 
kumchapa sio ishu, ishu ni baada ya kumchapa itakuaje? Iran isije kuishia kuwa failed state nyingine tena
Kwahio Toka Mwaka 1979 Mpaka sasa Mwaka 2019

Hawajajua itakuaje baada ya Kumchapa ?!

Kwahio Kwa Concepts Hii Niwazi Yakwamba Hakuna Vita Kwakati Huu Mpaka watakapokuja Kujua Atakaa Nani Baada ya Kumchapa

Miaka Mengine 40 Hioooo
 
DUUUH
Wewe unaichukulia Israel kama Yemen. Umesahau alivyowaua wanasayansi wa Iran na kulipua vinu vyao vya nyuklia. Akigonga Israel wanampasua hata bila ya msaada wa USA
Aligonga Vinu Vya Nyuklia Vya TEHRAN Mwaka Gani Na Kwkautumia nn ?!


Ama hizi habari unazo wewe tuu MKUU ?!

ISRAEL Hawana Tofauti Na SAUDI ARABUA
 
Back
Top Bottom