Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,576
- 36,581
Heheheheh

Kiufupi Jamaa Zako US Hawajiamini Kuingia Mzigoni Na WAAJEMI


Hata Haya Yavisima Yashapoa Vile Vile Maana Kama Wangekua Wafanyaji Sasa hv Kungelikua hakukaliki Mashariki Yakatihayo ya drone mbona yalikuwa yameshapoa, kinacho escalate mambo sasa hivi ni kulipuliwa kwa hizo site za mafuta za Saudia na hao wanaodaiwa kuwa waasi wa Houthi, ambao wapo backed na Iran, hata kama Iran hajalipuwa yeye moja wa moja atakuwa anahusika kwa kuwa yeye ndio anayewafadhili hao waasi,
Watu hawataki vita lakini uvumilivu una kiwango chake
Kiufupi Jamaa Zako US Hawajiamini Kuingia Mzigoni Na WAAJEMI








