Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,024
- 2,271
Hata Gadafi alijitapa! Bora commrade Mugabe aliyejifia kwa uzee huku US$ 1 = 5 million Z$
Mlisema hivi hivi 2003 wakati iraq inachapwa mara mstari mwekundu mara makombora matokeo yake yule mzee kajificha kwenye shimo nchini kwake.Hakuna taifa kwa sasa linaweza kupigana na USA.Jifariji tu
