Vita ni gharama. Vita ni pesa. Vita ni hasara.
Marekani kuanzisha vita kama vile ya Iraq hawezi miaka hii chini ya mfanyabiashara Trump. Zaidi zaidi akijitahidi atarusha makombora yake kutokea mbali. Hawezi muingilia muIran kwake wala kumsogelea.
Marekani kuanzisha vita kama vile ya Iraq hawezi miaka hii chini ya mfanyabiashara Trump. Zaidi zaidi akijitahidi atarusha makombora yake kutokea mbali. Hawezi muingilia muIran kwake wala kumsogelea.