Kitachompata Iran, kitaweka Historia

Kitachompata Iran, kitaweka Historia

hahaa, eti China ndio jeshi lote la Nato? China + Urusi hawamfikii hata Marekani kiuchumi na kijeshi akiwa peke yake, achilia mbali hiyo Nato, hebu jaribu kutafuta facts mtandaoni kwanza kabla ya kuja kujibu kwa ushabiki na mihemko mkuu
Mkuu unamchukulia poa China.
Usikae ukakariri ya mtandaoni.
Ebu nenda kamuulize USA nini kilichomkimbiza South China sea alipoenda kuweka battle ships zake akidai kuwa south china sea ni international marines ila kuna vyuma alivionesha China vinapiga two targets per once na akamuonya USA arudishe battle ships zake na asirushe fighter jets pale.
US haikubaki na hairushi ht kipepeo pale South China sea.
Usiwachukulie China poa ww.
China peke yake anateketeza NATO nzima.
Maana ana vinu hajavitoa na ni hatari we baki na kusoma data za kwenye google.
 
Kwanza ujue ni kuwa Trump alichaguliwa na kundi kubwa la watu wasipenda vita na uchaguzi wa term ya pili unakaribia, lakini pia vita vikitokea huenda Iran akashambulia nchi jirani ambazo ni washirika wa USA. Nje ya hapa ni kuwa pamoja na support ya Urusi na China bado hawezi mtikisa Mmarekani, shida ndio hiyo hatashinda na wala hatakubali afe mwenyewe.
Maneno matupu hayavunji mufupa
 
Trump is weak and afraid, naanza hisi hata jeshi la Marekani sio la kuamini sana
Dah Wee Jamaa Umenichekesha Kinyama Asee

Ila Unatakiwa Uelewe Yakwamba Jeshi La US Sio Weak Wala Oga Ama Trump Ila US Wana Angalia Faida Na Hasara Za Vita Na IRAN Niwazi Kabisa Yakwamba Kama Itatokea Vita Baina Ya US na IRAN Hili Halina Ubishi IRAN Atakaa

Ila IRAN Hatakaa Kirahisi Rahisi kama Watu Munavyo Mbeza Yaani US Atapoteza Wanajeshi Wake Wengi Mnooo Manuari Cjui Nandege Zake Zakivita Zitakula Kichapo kibaya Sana Na Kikubwa Nikwambie Mzee Kinachomfanya US Asiingie Vitani Na IRAN Ni Anafikiria Ama Anamfikiria Mwanawe ISRAEL Yaani Huyu Ndio Anaemuumiza Kichwa US Maana Anajua IRAN Yoote 9 Ila 10 Target Zake Huyu Bwana Mdogo

US Hahofii Kuipiga IRAN Eti Kisa Itashambulia cjui SAUDIA cjui UAE Sijui JORDAN Hapana Anajua IRAN Ataelekeza Mizigo kwa 80% UYAHUDINI Halaf Hizi 20% Nyengne Atajibia Mapigo Iwe Popote Pale Ndani Ama Nje Yamashariki Yakati Akiwa Na Uwezo wakupafikia Basi Ata Deal Napo

IRAN Akienda Vitani Na US IRAN Anapigwa Ila Sio Kinyonge Nahio Vita Hatakama Ikidumu Kwa Siku Moja Baada Ya Hapo US Atakua Chini Ya CHINA Na Hiki Ndio Kabisa US Ambacho Hakitaki Maana Sikashaujua Utamu Wa Ukiranja Wadarasa Darasani

Ila Leo Umetoa Lile Lamoyoni Kijana
 
DAAH
Pale Middle East Iran tu ndio nchi inayo weza simama kumbishia US
Ila watu mjue kuna tofauti ya kubishi na kushinda..

Kwa nini Iran haina marafiki middle East, na anachukiwa na Israel Iran ndio nchi pekee ilio baki ikipigania maslai ya Palestina wengibe waLisha mtosa mwarabu mwenzao

One on One Israel na Iran, Israel ana kalishwa... Sema Protection from Us ndio ina mpa kibur Israel
Israel level zake ni Palestina na Syria Lebanon, Jordan, na Misri ya siku hiz sio Alafat
Yaani Mkuu Natamani Sana Watu Waisome Hii Koment Na Waielewe

Yaani Umemaliza Kila Kitu

Nb:US Akipigana Na IRAN Niwazi IRAN Anapigwa Ila US Atapata Maumivu Ambayo Hakuwahi Kuyapata Popote Pale Ambapo Aliwahi Pigana DUNIANI Nahaya Maumivu Hayatasahaulika Kwa Ulimwengu Na Hasa Hasa Kwa US Mwenyewe

US Anapigana Na IRAQ IRAQ Inashindwa Kupiga Hata Kambi Yakijeshi Ya US Iliopo KUWAIT Daaah

Ila US Akipigana Na IRAN Aelewe Ama Anaelewa Yakwamba Anaziweka REHANI Kambi Zake Zakijeshi Zoote Zilizopo MASHARIKI YAKATI
 
Mkuu unamchukulia poa China.
Usikae ukakariri ya mtandaoni.
Ebu nenda kamuulize USA nini kilichomkimbiza South China sea alipoenda kuweka battle ships zake akidai kuwa south china sea ni international marines ila kuna vyuma alivionesha China vinapiga two targets per once na akamuonya USA arudishe battle ships zake na asirushe fighter jets pale.
US haikubaki na hairushi ht kipepeo pale South China sea.
Usiwachukulie China poa ww.
China peke yake anateketeza NATO nzima.
Maana ana vinu hajavitoa na ni hatari we baki na kusoma data za kwenye google.
Yan bora hata na ww umeona ukwel.yan wa2 wamekarr kuwa China ni weak hv hawajui kwann USA anaweka vkwazo kwa kla taifa atakalolion lnakarbia kumfkia iwe kiuchumi kteknoljia na kjesh.

au wa2 wameshasahau ushuru unaopandshwa kwa bdhaa za china na vkwazo vya nuclear dhd ya iran na ktendo cha kumtoa Russia kwny G8.pia bla kumsahau vkwazo alvyowekewa N.korea na hukchek hao wote ipo sku wataungan ili kumpga USA na hapo ndpo WW3 itakapotokea

so cc wa thrd world country inabd 2we watazamaj kuangalia.pia hyo vta iktokea kaa ujue kla taifa ltaathrk kutokana kla m1 kumtegemea mwnzak ktk nyanja mbalmbal


Pia hata wale washrk wa marekan mfano Israel Uingereza France nk na baadh ya mataifa ya kiarab nao wataingia vtan hawatakubal kiongoz wao apgwe ndo maan mpk sasa kla m1 anasubria n nan atakayeanzsha mashambulz ya direct.ndo utakuta kla kukch Dt anatoa vtsho vya kuishambulia Iran ila anashndw na ujue kuwa kuna reason behind
 
Yan bora hata na ww umeona ukwel.yan wa2 wamekarr kuwa China ni weak hv hawajui kwann USA anaweka vkwazo kwa kla taifa atakalolion lnakarbia kumfkia iwe kiuchumi kteknoljia na kjesh.

au wa2 wameshasahau ushuru unaopandshwa kwa bdhaa za china na vkwazo vya nuclear dhd ya iran na ktendo cha kumtoa Russia kwny G8.pia bla kumsahau vkwazo alvyowekewa N.korea na hukchek hao wote ipo sku wataungan ili kumpga USA na hapo ndpo WW3 itakapotokea

so cc wa thrd world country inabd 2we watazamaj kuangalia.pia hyo vta iktokea kaa ujue kla taifa ltaathrk kutokana kla m1 kumtegemea mwnzak ktk nyanja mbalmbal


Pia hata wale washrk wa marekan mfano Israel Uingereza France nk na baadh ya mataifa ya kiarab nao wataingia vtan hawatakubal kiongoz wao apgwe ndo maan mpk sasa kla m1 anasubria n nan atakayeanzsha mashambulz ya direct.ndo utakuta kla kukch Dt anatoa vtsho vya kuishambulia Iran ila anashndw na ujue kuwa kuna reason behind
Nawashangaa hawa.
Hivi hawajui km Trump alisitisha kuiingia N.korea kijeshi kwasababu China alikua nyuma yake.USA anaijua nguvu ya China kijeshi na kiuchumi ndio maana kila siku USA analia na China ili amkate makali.
Kaka ungefuatilia ile ishu ya South china sea mchina sio poa.
Yani America kajifanya kujishebedua kusema ile ni mipaka ya kimataifa akaleta manowari jamaa akawa anamuonya tu .Akawa anapaisha hadi ndege China anamuonya tu.
Alivyozidisha aircraft carrier mzee akaweka vinu vyake vya nuclear ballistic missiles yan pigo moja kwa ndege wawili akamwambia ukirusha ndege naachia vyuma.
Hadi sasa uliza km kuna meli vita ya USA imebaki south china sea.
Hawa watu hawaelewi kwann USA anahangaika na China kuliko Iran mwenyewe,kwasababu ishaonekana dalili ya China kumtake over USA ndio maana jamaa wanahangaika kumuangusha.
 
Nawashangaa hawa.
Hivi hawajui km Trump alisitisha kuiingia N.korea kijeshi kwasababu China alikua nyuma yake.USA anaijua nguvu ya China kijeshi na kiuchumi ndio maana kila siku USA analia na China ili amkate makali.
Kaka ungefuatilia ile ishu ya South china sea mchina sio poa.
Yani America kajifanya kujishebedua kusema ile ni mipaka ya kimataifa akaleta manowari jamaa akawa anamuonya tu .Akawa anapaisha hadi ndege China anamuonya tu.
Alivyozidisha aircraft carrier mzee akaweka vinu vyake vya nuclear ballistic missiles yan pigo moja kwa ndege wawili akamwambia ukirusha ndege naachia vyuma.
Hadi sasa uliza km kuna meli vita ya USA imebaki south china sea.
Hawa watu hawaelewi kwann USA anahangaika na China kuliko Iran mwenyewe,kwasababu ishaonekana dalili ya China kumtake over USA ndio maana jamaa wanahangaika kumuangusha.
Ndo shda ilpo na wana JF wengi wao wanacoment bla kujua wanachocoment yan kuna m2 m1 amenchekesha alposema kuwa wakchanganywa MRussia na mChina hawamfkii USA ya huyo m2 ndo ameniacha hoi nkajiulz hv anazjua hzo nchi vzur au ndo na yy anajskia kuandk
 
Yanayokuja wanaanza kuyapangia sababu
IMG_0840.JPG
 
Ndo shda ilpo na wana JF wengi wao wanacoment bla kujua wanachocoment yan kuna m2 m1 amenchekesha alposema kuwa wakchanganywa MRussia na mChina hawamfkii USA ya huyo m2 ndo ameniacha hoi nkajiulz hv anazjua hzo nchi vzur au ndo na yy anajskia kuandk
Vitoto vingi humu ndani siku hizi hamna raha tena yaanii.
 
Nawashangaa hawa.
Hivi hawajui km Trump alisitisha kuiingia N.korea kijeshi kwasababu China alikua nyuma yake.USA anaijua nguvu ya China kijeshi na kiuchumi ndio maana kila siku USA analia na China ili amkate makali.
Kaka ungefuatilia ile ishu ya South china sea mchina sio poa.
Yani America kajifanya kujishebedua kusema ile ni mipaka ya kimataifa akaleta manowari jamaa akawa anamuonya tu .Akawa anapaisha hadi ndege China anamuonya tu.
Alivyozidisha aircraft carrier mzee akaweka vinu vyake vya nuclear ballistic missiles yan pigo moja kwa ndege wawili akamwambia ukirusha ndege naachia vyuma.
Hadi sasa uliza km kuna meli vita ya USA imebaki south china sea.
Hawa watu hawaelewi kwann USA anahangaika na China kuliko Iran mwenyewe,kwasababu ishaonekana dalili ya China kumtake over USA ndio maana jamaa wanahangaika kumuangusha.
Inabd cc 2we watazamaji 2 kwa maan ktakachotokea kwny WW3 itakuwa ni uzallshaj kwa taifa la USA.pia katk taifa lnalchukiwa na wng USA hakosekan pa1 kuwa lnaloongoz ni Iran ikfuatiwa na Iraq
 
Leo nimeona Trump karudisha sanctions dhidi ya Iran. Na pia Saudi baada ya visima vyao vya mafuta kushambuliwa na Iran majuzi tu, wameamua kutengeneza press conference kabisa na ushahidi. Kwa wenye uelewa hapa tunajua kwamba Iran anatengenezwa justification ya military attack ili akivamiwa dunia isilalamike. Yetu macho.......
Kwa taarifa yako Marekani huwa haina ubavu wa kushambulia nchi yenye uwezo wa kurudisha mapigo! Marekani ni waoga sana, huonea nchi zisizokuwa na uwezo wa kujibu mashambulizi!!! Ndio maana huishia kubweka tu na kuweka vikwazo Kwa mataifa kama Korea ya kaskazini, Venezuela, urusi, China, Cuba na sasa Iran!!! Kwanza marekani imeumbuka maana huuzia washirika wake ulinzi wa anga kanyaboya na kupiga pesa!!Wanaosubiri Iran kushambuliwa watasubiri sana!!!!!
 
Ujui kitu us yupo south china sea miaka yote embu fatilia vizur
Nawashangaa hawa.
Hivi hawajui km Trump alisitisha kuiingia N.korea kijeshi kwasababu China alikua nyuma yake.USA anaijua nguvu ya China kijeshi na kiuchumi ndio maana kila siku USA analia na China ili amkate makali.
Kaka ungefuatilia ile ishu ya South china sea mchina sio poa.
Yani America kajifanya kujishebedua kusema ile ni mipaka ya kimataifa akaleta manowari jamaa akawa anamuonya tu .Akawa anapaisha hadi ndege China anamuonya tu.
Alivyozidisha aircraft carrier mzee akaweka vinu vyake vya nuclear ballistic missiles yan pigo moja kwa ndege wawili akamwambia ukirusha ndege naachia vyuma.
Hadi sasa uliza km kuna meli vita ya USA imebaki south china sea.
Hawa watu hawaelewi kwann USA anahangaika na China kuliko Iran mwenyewe,kwasababu ishaonekana dalili ya China kumtake over USA ndio maana jamaa wanahangaika kumuangusha.
 
Sawa kama yupo miaka yote kwann aliambiwa arudshe nyuma aircraft carrier na vessel zake hacjarb kuingia nazo south sea.na kitendo cha yeye kukataliwa kuingia south sea ndo kulpelekea kumwekea vkwazo vya kbiashara.fuatlia mkuu naona bado unabshan na ukwel


Tense US-China relations: The dispute in the South China Sea is one of several quarrels between the world's two biggest economies. US President Donald Trump has ignited a trade war with the far east nation — he threatened to raise tariffs on $200 billion ($178 billion) of Chinese goods from 10% to 25%. Beijing also laments the US recognition of Taiwan, which it still considers part of China, and has warned of "consequences" after Washington imposed sanctions on the Chinese military over its purchase of Russian fighter jets.
Ujui kitu us yupo south china sea miaka yote embu fatilia vizur
 
Ujui kitu us yupo south china sea miaka yote embu fatilia vizur
Mkuu unalalaga sana.
Ama kazi zimekuzidia mpk habari huangalii.
US ametoka pale south china sea ame with draw na kusogeza meli vita zake nyuma.Yani ktk mipaka ya south china sea US hawapo tena wame pull back.
 
Mkuu unalalaga sana.
Ama kazi zimekuzidia mpk habari huangalii.
US ametoka pale south china sea ame with draw na kusogeza meli vita zake nyuma.Yani ktk mipaka ya south china sea US hawapo tena wame pull back.
Ndo walwal ambao wanakurupuka kucoment bla kujua knachoendelea kwny hii dunia
 
Mlisema hivi hivi 2003 wakati iraq inachapwa mara mstari mwekundu mara makombora matokeo yake yule mzee kajificha kwenye shimo nchini kwake.Hakuna taifa kwa sasa linaweza kupigana na USA.Jifariji tu
Acha kufananisha Iraq na Iran.Iraq ni Arabs wakati Iran ni Persians.
 
Back
Top Bottom