Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,576
- 36,581
DuuuhKununua silaha siyo shida hata marekani hununua silaha, shida ni silaha gani unatengeneza, high tech zaidi ya kumshinda mmarekani? Iran anasaidiwa kisirisiri na Mrusi, Mchina na Korea Kaskazini na hawawezi kumpa technolojia yote, usidanganye Iran siyo super power.




Yaani Mkuu Wewe Unajua Yakwamba IRAN Anasaidiwa Kutengeneza Silaha Nahao Ulowataja
Ila dunia haijui Hilo Inamaana Unaielewa IRAN Vyema Kuliko JAMII YAKIMATAIFA Mkuu Hongera Sanaa




