Mwingereza ndo atakuwa mwamuzi mkuu na muisrael atakuwa mwamuz msaidzWanataka kumchapa Iran, sijui nani ataamulia
Sawa kiuchumi amemwacha mbali Russia ila ukj kwny millitary case hawajapshan sana na Russia ndo maan mpk sasa USA hathubut kuongea pumba kwa Russia hat uchaguz wa marekan uldukuliwa na Russia na hata hvy hucje ukadharau mataifa ambayo unayoyaon sio kitu kwa USA coz hayo mataifa kama China Russia na N.Korea lengo lao ni moja 2 kumpga USA.Kwanza China na Russia wakiingia direct kwenye vita basi NATO yote itaingia kwenye hiyo vita, itakuwa ni WW3 na China sio mjinga kiasi hicho ku risk vita kubwa hivyo kisa eti Iran
Uchokozi analeta USA na propaganda zake za regime change in Iran.Iran wala hataki papara na mtu.Marekani hataki vita na Iran wala Saudia hataki vita, hakuna mtu mwenye akili anayetaka vita, ila kwa uchokozi anaoufanya Iran sasa utawafaya washindwe kuvumilia, anapigwa tu,
Iran pale mashariki ya Kati yupo na Qatar tu peke yake, Saudia, Israel, Marekani, UAE na wengine wote wakiungana Iran anamalizwa mapema tu
The whole NATO Army=Chinese Army.Kwanza China na Russia wakiingia direct kwenye vita basi NATO yote itaingia kwenye hiyo vita, itakuwa ni WW3 na China sio mjinga kiasi hicho ku risk vita kubwa hivyo kisa eti Iran
Vichekesho hiviSaudi anazo destroyer Irani hana Iran ni mweupe kama manara tuView attachment 1211005



Bush umeshindwa iran ndo itakua huyu babu chizi Mzee wa TwitterTulia uone kama trump atamuacha ayatollah amekalia kiti






Sisi watu wa Persian tutaisambaratisha Washington Dc yote iwe mavumbi.








Kwa hiyo mpaka washirikiane inaonekana Iran ni mbabe sanaMarekani hataki vita na Iran wala Saudia hataki vita, hakuna mtu mwenye akili anayetaka vita, ila kwa uchokozi anaoufanya Iran sasa utawafaya washindwe kuvumilia, anapigwa tu,
Iran pale mashariki ya Kati yupo na Qatar tu peke yake, Saudia, Israel, Marekani, UAE na wengine wote wakiungana Iran anamalizwa mapema tu
Nyuklia haiwezi kutumika tena katika ulimwengu huu na ule ujao. dunia nzima inajua madhara yake. Wababe wanataka kumiliki tu ili kuweka heshima.Huo ndo ukweli mkuu.Urusi na China wanasubiri tu Marekani ajichanganye ili watu watest makombora yao ya kisasa yasije kulipuka bila kutumika.Iran mwenyewe anawashwa Marekani ajichanganye ili atest makombora yake ya Nyuklia.
hata wakienda nchi kwa nchi Iran bado atamalizwa tu, yaani hapa nilichokuwa naamaanisha ni kuwa Iran hana marafiki wengi hapo Middle East so ni bora akaacha uchokoziKwa hiyo mpaka washirikiane inaonekana Iran ni mbabe sana
hahaa, eti China ndio jeshi lote la Nato? China + Urusi hawamfikii hata Marekani kiuchumi na kijeshi akiwa peke yake, achilia mbali hiyo Nato, hebu jaribu kutafuta facts mtandaoni kwanza kabla ya kuja kujibu kwa ushabiki na mihemko mkuuThe whole NATO Army=Chinese Army.
Bado sijaiweka Russia.Yan Russia na China wakiungana tarajia kichapo cha utatu mtakatifu kwa vikosi vya NATO .
Russia na China ni watu wanaosemekana kuwa na secret weapons za hali ya juu zisizotambulika uwezo wake asa wakiamua kuzitoa kushnei.
hayo ya drone mbona yalikuwa yameshapoa, kinacho escalate mambo sasa hivi ni kulipuliwa kwa hizo site za mafuta za Saudia na hao wanaodaiwa kuwa waasi wa Houthi, ambao wapo backed na Iran, hata kama Iran hajalipuwa yeye moja wa moja atakuwa anahusika kwa kuwa yeye ndio anayewafadhili hao waasi,Uchokozi analeta USA na propaganda zake za regime change in Iran.Iran wala hataki papara na mtu.
US nyege gan zilimpata mpk kupeleka drone yake mwaka huu anga ya Iran??
US ndio wakorofi na Hassan Rouhani hatowavumilia.
Na usimsahau Iran ana Lebanon Hizbollah.
Hawa wamba chaf pozi na UAE juzi kat alitaka ushirika wa kijeshi na Iran it means anajihengua kuwa American puppet.
kwa hiyo kwa akili yako unadhani, Russia ata risk kuingia kwenye vita na Marekani kisa Iran? unajua gharama ya kuingia kwenye vita hiyo, Russia ni mjinga wa kuingia kwenye vita na nchi yenye jeshi na uchumi mkubwa zaidi duniani kwa ajili ya Iran? hahaaSawa kiuchumi amemwacha mbali Russia ila ukj kwny millitary case hawajapshan sana na Russia ndo maan mpk sasa USA hathubut kuongea pumba kwa Russia hat uchaguz wa marekan uldukuliwa na Russia na hata hvy hucje ukadharau mataifa ambayo unayoyaon sio kitu kwa USA coz hayo mataifa kama China Russia na N.Korea lengo lao ni moja 2 kumpga USA.
Jaribua hata kufuatiia mlltary power ya USA Russia na China hawajapshana sana.juulze je cku hao Russia China na N.korea wakiungan itakuaj na washirika wa USA ni Israel na Uk