Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,192
- 30,533
- Thread starter
- #61
Kwa nini unasema mchango wangu ni muhimu?
Mimi nina sauti gani mbele ya watu wote waliochangia fikra zao?
Kwa nini unasema mchango wangu ni muhimu?
Mbussi,Mzee wangu Said, huchoki na ngonjera za wapigania Uhuru? John Okelo alishiriki mapinduzi kule Zanzibar, je, nae ni Mzanzibar? Swala hapa si kuasisi chama wala kupigania Uhuru, hisipokuwa ni kwamba kuna Watanzania wenye asili ya Wamanyema wa Kongo. Kuwa Mmanyema hakuwezi kukuondoleeni Utanzania wenu kama ilivyo kwa Wamasaai, wako Kenya na wengine Tz, Wamakonde, Wajaruo nk.
Issue kubwa hapa ni maudhui ya vitabu mnavyoviandika. Kama vinahubiri udini na chuki bora usitueleze hapa jf, kaelezaneni uko misikitini. Title tu ya kitabu chenyewe na aina ya uwasilishaji wa maelezo yako, vinatosha kujua nini kimeandikwa ndani ya hiki kitabu. Yaleyale.......kama kawaida yenu.
Smart..Ahsante kwa taarifa...
Hatakuelewa . Tuendelee mzee mohamed saidFather...
Wote hao ni Watanzania ingawa ni Wamanyema.
Wamanyema wana historia kubwa sana katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.
Nitakuonjesha kidogo:
View attachment 2649364
Kulia ni Hamisi Taratibu Muasisi wa TANU Dodoma Central Province, (Mmanyema), Saadan Abdu Kandoro (Mmanyema) katika waasisi 17 wa TANU, Julius Nyerere (Mzanaki), Sheikh Mohamed Ramiyya (Mmanyema) kiongozi wa TAA na TANU Bagamoyo na Iddi Faiz Mafongo (Mmanyema) Mweka Hazina wa Kwanza wa TANU kati ya watu wasiozidi 20 waliohudhuria mkutano wa kwanza wa TANU Ukumbi wa Arnautoglo na mkusanyaji wa fedha sasfari ya kwanza ya Nyerere UNO 1955.
Picha imepigwa Dodoma Railway Station mwaka wa 1955 wakati wa kuisambaza TANU majimboni na kupigania uhuru.
Huyu mzee wetu anauchukia sanaMzee wangu Said, huchoki na ngonjera za wapigania Uhuru? John Okelo alishiriki mapinduzi kule Zanzibar, je, nae ni Mzanzibar? Swala hapa si kuasisi chama wala kupigania Uhuru, hisipokuwa ni kwamba kuna Watanzania wenye asili ya Wamanyema wa Kongo. Kuwa Mmanyema hakuwezi kukuondoleeni Utanzania wenu kama ilivyo kwa Wamasaai, wako Kenya na wengine Tz, Wamakonde, Wajaruo nk.
Issue kubwa hapa ni maudhui ya vitabu mnavyoviandika. Kama vinahubiri udini na chuki bora usitueleze hapa jf, kaelezaneni uko misikitini. Title tu ya kitabu chenyewe na aina ya uwasilishaji wa maelezo yako, vinatosha kujua nini kimeandikwa ndani ya hiki kitabu. Yaleyale.......kama kawaida yenu.
Mrangi...Huyu mzee wetu anauchukia sana
Ukrst.....huo ndiyo ukweli
Ova