James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 9,529
- 16,233
Hiyo ni article au preposition.Kaka unazijua pre modifiers?.
Zikikosekana kwenye noun ni kama umeikata miguu hivi.
Update
Nimeshaelewa maelezo yako.
Hiyo ni article au preposition.Kaka unazijua pre modifiers?.
Zikikosekana kwenye noun ni kama umeikata miguu hivi.
Mkuu @W.J. Malecela upo kwemye list ya kupigwa pingu na makonda usipooa mwaka huu, uza kitabu ukitambua hilo.![]()
- "MY AMERICAN EXPERIENCE" kitabu changu kipya ambacho baadhi ya chapters zake zilisomwa sana humu JF, sasa kipo tayari kutakuwa na uzinduzi rasmi mwisho wa mwezi huu, na nitatangaza namna ya kukipata. Karibuni sana ndugu zangu mjipatie copy. ...Call +255 717 618 997 bei haitazidi 15K. ....ni Version ya kwanza kwa KISWAHILI kina Page 260.
le Mutuz Super Brand.
Ni trend nzuri, alianza Edwin Mtei, Reginald Mengi na wewe umetupa uzoefu wako, ni jambo jema, knowledge is power, tutaendelea kusoma na kujifunza.
Good stuff Mkuu, i am inspired, all the best.- Thanks boss, so ninaingia kwenye historia ya Taifa, alianza Mafuru, Mzee Mengi na sasa mimi Le Mutuz Super Brand
le Mutuz
Mkuu mambo ya lugha ni magumu sana hata huku lugha yetu imekuwa ngumu, tunandika Kiswahili kisichoeleweka kwa mfano mtu anaandika '' kwa laha zangu, kipengere, alafu, akuna ''My nigga....hapo ilitakiwa kuwa ‘Based on a true story’ na siyo ‘Based on true story’.
Mnaweza kusahihisha?
Mnajua kumchora..😁😁😁Big brother kiweke Amazon kitasambaa dunia nzima
Alinufaikaje?Huyu mzee alitusumbua sana humu, ni kati ya wanufaika wa utawala mbovu wa Mwendazake. Pole zake[emoji16][emoji16]