pisces
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 240
- 61
Habari zenu wadau,
Naomba mwenye kitabu cha kielektroniki chenye sheria za barabarani anisaidie. kikiwa na picha na michoro itakua vema zaidi.
JF daima.
Naomba mwenye kitabu cha kielektroniki chenye sheria za barabarani anisaidie. kikiwa na picha na michoro itakua vema zaidi.
JF daima.
Hiki ndio Kitabu cha sheria/Kanuni za barabarani za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,za mwaka 2008,
Hizi zitakusaidia kuelewa kanuni za barabara vizuri,mimi ninaona watu wanaoendesha magari hapa Dar bila kufuata sheria za barabarani,utaona mtu anavuka kwenye taa zikiwa zimeonyesha "RED"au anampigia honi mwenzake ambaye anafuata kanuni za barabarani,
Soma zikusaidie
Elisante Yona
View attachment 225790