Kitabu cha sheria za barabarani

pisces

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
240
61
Habari zenu wadau,

Naomba mwenye kitabu cha kielektroniki chenye sheria za barabarani anisaidie. kikiwa na picha na michoro itakua vema zaidi.

JF daima.

Hiki ndio Kitabu cha sheria/Kanuni za barabarani za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,za mwaka 2008,

Hizi zitakusaidia kuelewa kanuni za barabara vizuri,mimi ninaona watu wanaoendesha magari hapa Dar bila kufuata sheria za barabarani,utaona mtu anavuka kwenye taa zikiwa zimeonyesha "RED"au anampigia honi mwenzake ambaye anafuata kanuni za barabarani,

Soma zikusaidie

Elisante Yona

View attachment 225790
 
habari zenu wadau
naomba mwenye kitabu cha kielektroniki chenye sheria za barabarani
anisaidie. kikiwa na picha na michoro itakua vema zaidi.
jf daima.

Hiki ndio Kitabu cha sheria/Kanuni za barabarani za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,za mwaka 2008,

Hizi zitakusaidia kuelewa kanuni za barabara vizuri,mimi ninaona watu wanaoendesha magari hapa Dar bila kufuata sheria za barabarani,utaona mtu anavuka kwenye taa zikiwa zimeonyesha "RED"au anampigia honi mwenzake ambaye anafuata kanuni za barabarani,

Soma zikusaidie

Elisante Yona
 

Attachments

  • Kanuni za Barabarani.pdf
    2.9 MB · Views: 2,415
Hiki ndio Kitabu cha sheria/Kanuni za barabarani za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,za mwaka 2008,

Hizi zitakusaidia kuelewa kanuni za barabara vizuri,mimi ninaona watu wanaoendesha magari hapa Dar bila kufuata sheria za barabarani,utaona mtu anavuka kwenye taa zikiwa zimeonyesha "RED"au anampigia honi mwenzake ambaye anafuata kanuni za barabarani,

Soma zikusaidie

Elisante Yona

sante sana mkuu
 
Hiki ndio Kitabu cha sheria/Kanuni za barabarani za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,za mwaka 2008,

Hizi zitakusaidia kuelewa kanuni za barabara vizuri,mimi ninaona watu wanaoendesha magari hapa Dar bila kufuata sheria za barabarani,utaona mtu anavuka kwenye taa zikiwa zimeonyesha "RED"au anampigia honi mwenzake ambaye anafuata kanuni za barabarani,

Soma zikusaidie

Elisante Yona
Ahsante mkuu
 
Hiki ndio Kitabu cha sheria/Kanuni za barabarani za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,za mwaka 2008,

Hizi zitakusaidia kuelewa kanuni za barabara vizuri,mimi ninaona watu wanaoendesha magari hapa Dar bila kufuata sheria za barabarani,utaona mtu anavuka kwenye taa zikiwa zimeonyesha "RED"au anampigia honi mwenzake ambaye anafuata kanuni za barabarani,

Soma zikusaidie

Elisante Yona
MimiKijana
 
Back
Top Bottom