Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,994
- Thread starter
- #401
@bazazi
Jr
Moja ya sababu kwa nini ni mfuasi wako ktk mada chonganishi na fikirishi. Majibu Kuntu toka kwa swali la mtu mjinga asiye na weledi. Mtu anayedhani dini yake ndio ya Mungu na zingine ni za kubumba. Hajiulizi ikiwa ni ya Mungu kwanini hazifuti na kuiacha yake tu.
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jr