Kitabu cha Mwanzo katika Bible ndio msingi wa mambo matatu duniani! Intelijensia, Sayansi na Uchawi

Inshallah ngoja tupate na kauli ya zitto junior
Inaonekana hayupo hapa TZ. Labda akirudi.
Mimi nimejifunza mengi sana kwako Mshana jr.
Ndio maana huwa sikubishii ila nakusikiliza tu unavyotema cheche.
Hata Zitto jr, huwa namsikiliza tu na si mbishii.
Nachukua madini ya Hekima kwenu nyie wote.
Salute kwenu
 
Inaonekana hayupo hapa TZ. Labda akirudi.
Mimi nimejifunza mengi sana kwako Mshana jr.
Ndio maana huwa sikubishii ila nakusikiliza tu unavyotema cheche.
Hata Zitto jr, huwa namsikiliza tu na si mbishii.
Nachukua madini ya Hekima kwenu nyie wote.
Salute kwenu
napokea kwa unyenyekevu mkuu
 
Nataka niachane kabisa na ulozi nikipata mtu wa kumkabidhi mfuko
:p:p:p umkabidhi JIWE mkuu.....

Kiufupi JF imenikutanisha na great thinkers wengi na kunisaidia kufahamu mambo ambayo sikuyafahamu mwanzoni kiufupi kila mada inayowekwa humu JF intelligence hutufanya tusome zaidi maana kila kitu kipya na kufikirisha.... Speaking of Mshana Jr kuna kipindi nimepita uswahilini maeneo ya mbagala nikakuta wanasoma ile mada yako ya LILITH na wanajadili nikagundua kumbe JF ina impact sana kwenye jamii.

Big up to all JF intelligence members.... Pia Much appreciation to Malcom Lumumba huwa ananiifluence sana kuingia humu jukwaani.
 
Sawa, mimi wewe na Zito inatupasa tukutane, anagalau tubadilishane mawazo. Basi ngoja nikae sawa nitakujulisha mkuu. Mshana jr
Itakuwa jambo zuri sana ukipatikana huo wasaa wakujuana nje ya hizi ID zetu... Maana kuna siku bhana mada moja humu JF ilikuwa moto sana nikadebate sana na mkuu mmoja dah nakuja kugundua baadae kumbe ile ID ni kaka yangu kabisa.... Hahahah kazi sana usikute kumbe Che mittoga ni shemeji yangu :D:p:p
 
:p:p:p umkabidhi JIWE mkuu.....

Kiufupi JF imenikutanisha na great thinkers wengi na kunisaidia kufahamu mambo ambayo sikuyafahamu mwanzoni kiufupi kila mada inayowekwa humu JF intelligence hutufanya tusome zaidi maana kila kitu kipya na kufikirisha.... Speaking of Mshana Jr kuna kipindi nimepita uswahilini maeneo ya mbagala nikakuta wanasoma ile mada yako ya LILITH na wanajadili nikagundua kumbe JF ina impact sana kwenye jamii.

Big up to all JF intelligence members.... Pia Much appreciation to Malcom Lumumba huwa ananiifluence sana kuingia humu jukwaani.
 
Itakuwa jambo zuri sana ukipatikana huo wasaa wakujuana nje ya hizi ID zetu... Maana kuna siku bhana mada moja humu JF ilikuwa moto sana nikadebate sana na mkuu mmoja dah nakuja kugundua baadae kumbe ile ID ni kaka yangu kabisa.... Hahahah kazi sana usikute kumbe Che mittoga ni shemeji yangu :D:p:p
imagine ungemtusi sasa.. Japo najua huwezi kufanya hivyo
 
Kinachoondoa uhalisia wa hiki kitabu unachokiita Yashari ni kwamba,,,hichi ndio kile original walichokizingatia Yoshua na Samuel???? Au kimeandikwa na Wataalam flani tu??? Kina tofauti gani na injili ya baraba,,au injili ya Eva,,au injili ya mariamu Magdalene??? Je waandishi wake sio watu wenye lengo linaloshabihiana?
Kama ni hivyo kwanini Joshua,Nabii Samuel na Timotheo wamenukuu hicho kitabu na maneno yake kuwekwa kwenye Biblia??

Na pia unazungumzia authenticity!! Ila nashangaa hujauliza kwanini kitabu cha waebrania ambacho mpaka leo mwandishi wake hajulikani ila bado kimewekwa kwa Bible??

Je kina ''authenticity'' pia??
 
Kinachoondoa uhalisia wa hiki kitabu unachokiita Yashari ni kwamba,,,hichi ndio kile original walichokizingatia Yoshua na Samuel???? Au kimeandikwa na Wataalam flani tu??? Kina tofauti gani na injili ya baraba,,au injili ya Eva,,au injili ya mariamu Magdalene??? Je waandishi wake sio watu wenye lengo linaloshabihiana?
Mkuu unaweza kuwa sahihi kuwa huenda Yashari hiki sio original lakini je original ni kipi?? Ni sawa na barua za paulo zimeandikwa nyingine miaka mingi baada ya paulo kufa na wanatheologia wanakiri kuna baadhi ya barua zake ziliongezwa maneno na wanafunzi wake lakini wakiwa inspired na misimamo ya paulo.... Sawa tu na song of Solomon kimeandikwa miaka zaidi ya 400 baada ya Suleiman kufariki same as Isaya na Jeremiah kiachiolojia sura kuanzia ya 50 imeandikwa miaka mia baadae sasa tukianza kuhoji credibility ya kwamba ni original ama lah kuna vitabu vya Biblia wwe unavisoma na unaviamini licha ya kuwa na changamoto hiyo hiyo unayoona Yashari inayo.

Hata utata wa muandishi wa yashari ni sawa tu na utata wa muandishi wa kitabu cha waebrania ambaye mpaka leo hafahamiki ila kitabu chake unakiamini mkuu na kina ongea nondo nyingi sana sasa je kwanini kuwepo na double standards kwa Yashari??

Mimi naona ifike wakati tusijifunge kwenye Biblia pekee maana Mungu ameongea na watu wengi nje ya Bible ndio maana hata Yuda aliquote book of enoch ilihali kanisa halikitambui kama ni kitabu chenye utakatifu.

Muhimu tu ni kuangalia content kama inamtiririko unaoeleweka mazuri unachukua utumbo unauacha sababu 90% ya Genesis Yashari inayakubali ila tu imeongeza in details taarifa baadhi ya maelezo ambayo hayajaongelewa kwa undani na Kitabu cha mwanzo mfano issue ya mnara wa babeli,maisha ya enock,Nimrod n.k yote yapo in details zaidi.
 
Kinachoondoa uhalisia wa hiki kitabu unachokiita Yashari ni kwamba,,,hichi ndio kile original walichokizingatia Yoshua na Samuel???? Au kimeandikwa na Wataalam flani tu??? Kina tofauti gani na injili ya baraba,,au injili ya Eva,,au injili ya mariamu Magdalene??? Je waandishi wake sio watu wenye lengo linaloshabihiana?
Nakushauri kisome kina mengi ya kuelimika
 
Jina huathiri muktadha, asili, chanzo na uhalisia wa kitu..... Kitabu cha MWANZO katika Biblia takatifu ndicho kitabu msingi kinachosomwa zaidi duniani... Tena na imani na dini zote...
Nukuu na rejea nyingi kwenye malumbano mijadala, tafiti za kisayansi, tafiti za kilozi na kishirikina, ulimwengu wa nguvu ya 'supernatunal powers (nguvu zisizomithilika) na hata maandiko mbalimbali yahusuyo asili na chanzo cha ulimwengu... Huwezi kuacha kutaja kitabu hiki....
Masomo ya sayansi, fizikia, baiolojia, historia, kemia historia, filosofia uchawi na ulozi.. Yote haya katika ujumla wake unayapata katika kitabu hiki cha MWANZO....
Unaposoma... MUNGU AKATAMKA NA IKAWA... hii ni aina ya ushirikina, imani katika nguvu za asili na uwezo wa kuumba na kuunda kwa matamshi tu... Sayansi iwayo yote haina uwezo huu... Mambo hayo kwasasa ni ya manabii mitume na wachawi(wanga na washirikina)
Mungu anapotamka kuwa kaumba viumbe vyote... VINAVYOONEKANA NA VISIVYOONEKANA... mpaka leo hii sayansi imeshindwa kutoa jibu sahihi juu ya hivyo VISIVYOONEKANA!
Hapa ndipo inabidi turudi kwenye rejea ya kitabu cha MWANZO na kuona nini kilisemwa na kikawa halafu kikawaje! Na ndipo tunapata ufunuo wa ajabu na ugunduzi kwamba hii tunayoita SAYANSI YA ITHIBATI si chochote bali ni njia tu ya mwanadamu kujaribu kutafsiri kwa njia yake kile ambacho kilishaandikwa na kufanyika kwenye kitabu cha MWANZO
Hakuna kipya chini ya anga na kwa hakika bado hatujaweza kuvumbua kila kilichomo na kilichoandikwa kwenye zile kurasa chache za kitabu cha MWANZO
World encyclopedia, volumes kwa volumes za sutras, misahafu kwa misahafu, maandiko na mavitabu makubwa ya wanafilosofia maarufu kuwahi kutokea duniani... SUMMARY yao iko kwenye kitabu cha MWANZO

Kuna wenzetu wenye mawazo mbadala kuhusu Bible na kitabu cha mwanzo.. Ukiwa mwepezi wa tafakuri wanaweza kwa HAKIKA kabisa kukuteka na hoja zao mahiri kabisa lakini zisizo na hakika.. Ni wajenzi wazuri wa hoja zinazoteteresha kama wewe ni legelege lakini ukitulia na kutafakari hawana mwendelezo na hawaendi zaidi ya kilipokomea kitabu cha mwanzo...
Wataandika na kuchagiza kwa maneno mengi na misamiati huku wakiweka nukuu za wengine ambazo nazo zinaishia kwenye kuakisi kile kilichomo kwenye kitabu hicho cha mwanzo....
Tukirudi hapa JF hata jukwaa hili la intelligence kwa sehemu kubwa linatawaliwa na maandiko toka kitabu cha mwanzo...
Ni kwa Muktadha huu kitabu hiki cha MWANZO kinabaki kuwa chanzo kikuu, msingi, chimbuko na asili ya kila kitu katika maisha yetu ya kila siku... Iwe sayansi uchawi imani ama intelijensia....!!!
Nionyeshe sehem ama mahali ambapo kitabu cha mwanzo kinaitaja physicia kinaga ubaga pasipo kutia aina yeyote ya neno lako?
 
Changamoto ni moja tu, tutapataje walau kurasa kadhaa copy za originals of this book?

Wote tunajua miaka invyozid kwenda na bible inazidi kutafsiriwa kama sio kulainishwa na kupunguzwa baadhi ya mambo.
 
Nionyeshe sehem ama mahali ambapo kitabu cha mwanzo kinaitaja physicia kinaga ubaga pasipo kutia aina yeyote ya neno lako?
Sijakupata vema ...... Kumbuka hii ni Bible na sio kitabu cha physics... Ambapo yote yanayofanywa kwenye hiyo fizikia asili yake ni ulimwengu huu ulioumbwa kwa kutamka tu
 
Changamoto ni moja tu, tutapataje walau kurasa kadhaa copy za originals of this book?

Wote tunajua miaka invyozid kwenda na bible inazidi kutafsiriwa kama sio kulainishwa na kupunguzwa baadhi ya mambo.
Zipo lakini hazichapishwi tena sijui kwanini
 
Greeting's!

Kuna mambo hupatikana kwa bidii ya kujifunza na siyo Ufunuo. Kuna mambo hupatikana kwa Ufunuo na siyo kwa bidii ya kujifunza.

Bible is not physic's or chemistry. Isome Biblia huku ukimuomba Roho Mtakatifu kuwa kiongozi wako. Utafahamu & kufunuliwa Mengi.

Tusiiosome ili tukajibizane uraiani. Tusiisome ili kufundisha wengine. Tusiisome ili kujua vifungu vingi. Tuisome ili kuwa karibu na Mungu. Tuisome ili tuwe na busara & hekima. Tuisome ili kufunuliwa Lengo la Maisha ambayo Falsafa, Literature, na Teknolojia imeshindwa kujibu.

Biblia ni Msingi wa Elimu zote. Biblia ni jibu la maswali yote.

Karibu tusome kitabu cha "Daniel".
Ni vema na haki.na huo ndio ukweli wenyewe
 
Back
Top Bottom