chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Kwa wale wapenda kusoma vitabu na kilikuwa mashuleni, miaka nenda sana na kumbuka kwa jina nchi ya kusadikika.mtunzi marehemu shaaban robert nguli wa ambaye mpaka leo kwa fasihi zake kama akitumia ujumbe ili kutoenesha mabeberu ila kimegeuka kwa Afrika.
Nika kumbuka mwengine chinua achebe kwenye kitabu chake kama kinyume chake.
Baada kuona ilo nikakutana na kitabu kilicho pita mda kidogo kama si miaka 4 basi mitano
Kwa nini ! Vitabu vinatukeji na kilichopo mbele
Nika kumbuka mwengine chinua achebe kwenye kitabu chake kama kinyume chake.
Baada kuona ilo nikakutana na kitabu kilicho pita mda kidogo kama si miaka 4 basi mitano
Kwa nini ! Vitabu vinatukeji na kilichopo mbele