Kitabu alichoonesha Freeman Mbowe alipokuwa anaingia Mahakamani kina ujumbe gani?

Mbowe kama Nelson Mandela yaani!
Hapan shaka. Huyu mtu anatengeneza legacy ya kipekee nchini kwa kusaidiwa na dola. Akijaliwa uhai biography yake itakuwa na utajiri wa vielelezo vya matukio ya kipekee ya maisha yake.

Naamini ndio maana anashindwa kuachia CHADEMA ibomolewe na dola. Anajua bila CHADEMA anabakia kuwa mtu wa kawaida tu mwenye kusaka riziki kama waswahili wengi tulivyo hapa bongo tunaoamini maisha ni michongo tu. CHADEMA inampa international recognition na attention kubwa ya serikali. Angalia tu hiyo picha jinsi alivyozungukwa na maaskari waliotulia kama wanamsindikiza VIP! There is a strange perception of power in that experience.
 
ni vyema apigwe pingu kama wenzake. Anatumia uhuru aliopewa wa mikono yake vibaya, mara kuinua kitabu mara kuweka mikono mfukoni. Amevurugwa kwelikweli kisaikolojia. Ikiisha miaka minne gerezani kabla ya hukumu yake sijui atafika hatua ya kunyanyua nini.
Kwema lkn memba mpya kabisa?. Hongera kwa mawazo yako. Mungu hutenda kwa wakati kwa kila mmoja wetu. Ombea yasikukute. Utakumbuka haya maneno yako unayofanyia mizaha.
 
Mwenye kufahamu atujuze ili twende sawa

View attachment 1946202
The book (The Power of Positive Thinking) being displayed by FAM the CDM chairperson while walking towards the court of law as authored by Dr. Norman Vincent Peale theoretically depicts the following context
1. Believe in yourself (Jiamini)
2. A peaceful mind generates power (Akili yenye amani hutengeneza NGUVU)
3. How to have constant energy (Namna ya kuwa na nguvu endelevu)
4. Try pray power (Jaribu nguvu ya maombi)
5. How to create your own happiness (Namna ya ya kujitengenezea furaha yako)
6. Expect the Best and Get it (Tazamia lililo bora na lipate)
7. I do not believe in defeat (Siamini katika kushindwa)
8. How to break the worry habit (Namna ya kuondoa tabia ya wasiwasi)
9. Power to solve personal problems (Uwezo wa kutatua matatizo binafsi)
10. When vitality sags, try this health formula (Uzima wa mwili unapodorora jaribu njia sahihi za kiafya)
11. How to use faith in healing (Namna ya kutumia imani katika uponyaji)
12. How to get people to like you (Namna ya kuwafanya watu wakupende)
13. Prescription for healthcare (maelekezo ya huduma ya kiafya)
14. How to draw upon that higher power (Namna ya kuyapata madaraka makubwa)
15. Inflow of new thoughts can remake you (Mtiririko wa upokeaji wa mawazo mapya hukurejeshea ujasiri na matazamio ya awali)
16. Relax for easy power (Ili ufanikiwe kupata madaraka huna budi kutosumbua afya ya akili na mwili)

Summary (Muhtasari)
A: Living a successful life Maisha ya mafanikio
B: Methods and techniques of belief (Njia na mbinu za imani)
C: Effective methods and techniques for winning challenges (Njia bora na mbinu za kushindaa changamoto)
D: How to win victory over every potential defeat (Namna ya kupambania ushindi dhidi ya kushindwa)
E: Exercise confidence through set out principles for a breakthrough (Tumia kanuni zilizowekwa kwa ufanisi ili kufkia mafanikio kwa haki)

*Tolerance for tolerant men like FAM to surprise his political opponents
 
The book (The Power of Positive Thinking) being displayed by FAM the CDM chairperson while walking towards the court of law as authored by Dr. Norman Vincent Peale theoretically depicts the following context
1. Believe in yourself (Jiamini)
2. A peaceful mind generates power (Akili yenye amani hutengeneza NGUVU)
Wenye PDF ya kitabu wakuu msaada tafadhalii
 
Aliyempelekea hicho kitabu Mbowe amefanya jambo la heri. Mbowe ana NEGATIVITY sana na utawala wa Samia. Hivyo basi akimaliza kusoma kitamsaidia kuishi kama raia mwema
Sawa kabisa kitamsuta

USSR
 
Mbowe kama Nelson Mandela yaani!
Kama utani utani vile, lakini ndiyo hivyo tena mwishowe utajikuta umepona kabisa, na sote tutaanza kujiuliza imekuwaje!

Hakuna atakayekumbuka ulivyokuwa, mtu usiyeambiwa chochote juu ya unazi mwingi uliokuwa umekuelemea.

Sitaki kukukatisha tamaa. Ni furaha yetu sote kuipigania Tanzania yetu huru na yenye haki kwa kila mtu, bila kujali siasa zilizopo.
 
Back
Top Bottom