zegamba180
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 820
- 544
Unapoenda kumtembelea Zegamba kwake ukamuulizia ukaambiwa yupo ndani. Nawe uhitaji kuingia ndani. Je, utamwambia;
1.Toka nje ama
2.Toka ndani
lipi sahihi?
1.Toka nje ama
2.Toka ndani
lipi sahihi?