Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Si kweli, Kiswahili ni lugha ya kimataifa. Hata umoja wa nchi za kiafrika, AU, wanatambua hilo. Hapo hakuna ubishi! Tatizo letu ni kasumba za kikoloni. Bado mawazo ya kuabudu wazungu yametutawala kiasi cha kwamba kila chetu tunakiona duni.Kiingereza ni lugha ya kimataifa, kiswahili ni kitanzania. Kwa uhuru wa kuuelewa utandawazi kwa mapana yake, tusijidanganye, kiingereza kinahitajika mno.