Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Tanzania ni nchi maskini bado hivyo tusitegemee lugha yetu kukua kwa haraka labda mtu ajifunze kea ridhaa yake na ili sisi tafanikiwe ktk nyanja mbali mbali tunahitaji kujifunza kingereza kwa namna moja au nyingine kitasaidia kujikwamua ktk hatua kadhaa tunazokutana nazo maishani
Mkuu, elimu yako ni ndogo sanaaaaaaaaaa au umesoma na hukelimika. Kwahiyo unatakakutuambia kuwa Uingereza kwamfano walianza na Kihaya au Kiswahili? Umasikini wetu umeletwa na Lugha za kigeni kwakuwa tunawekeza zaidi ya 56% ya kisomo chetu kwenye kiingereza hasa baada ya elimu ya msingi.
Hivi kuchimba madini, kuuza samaki wetu, kuu, .... kunahitaji Kiingereza? Baada ya kushindwa kidato cha nne, cha sita, au ata baada ya kuajiriwa mfano wewe ulipoajiriwa una kitumia kiingereza kwa kwa siku mara ngapi kama si Kiswangilish?