game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,402
- 23,323
Na kwa kukumbushana tu ni kuwa
Lugha ni Nyenzo muhimu katika kuwaunganisha watu,
Biblia yangu hunikumbusha Failure ya Ujenzi wa Mnara wa Babeli ilikuja baada ya Mungu kuwapandikizia Lugha tofauti hatimaye disunity.
tunatakiwa kuongeza juhudi Kuhakikisha kiswahili kinasambaa ulimwengu mzima,
Hadi sasa Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo zote mbili, Zambia, Mozambique na Malawi lugha hii inasambaa kama UKIMWI,
Ni vizuri wana Africa mashariki kukomaa na kuhakikisha tunapenyeza Kiswahili Duniani kwa Nguvu zote,
Tunashukuru wasanii Kama diamond platinums na wasafi band yote kwa kutangaza kiswahili kupitia nyimbo zenu.
Juhudi zaidi zifanyike!!
Lugha ni Nyenzo muhimu katika kuwaunganisha watu,
Biblia yangu hunikumbusha Failure ya Ujenzi wa Mnara wa Babeli ilikuja baada ya Mungu kuwapandikizia Lugha tofauti hatimaye disunity.
tunatakiwa kuongeza juhudi Kuhakikisha kiswahili kinasambaa ulimwengu mzima,
Hadi sasa Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo zote mbili, Zambia, Mozambique na Malawi lugha hii inasambaa kama UKIMWI,
Ni vizuri wana Africa mashariki kukomaa na kuhakikisha tunapenyeza Kiswahili Duniani kwa Nguvu zote,
Tunashukuru wasanii Kama diamond platinums na wasafi band yote kwa kutangaza kiswahili kupitia nyimbo zenu.
Juhudi zaidi zifanyike!!