kilam
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,092
- 2,126
dah! huwa nakupaga tano mara zote lakini kwa hili NO!
hatuitaji makabila ya aina yoyote na bora yafe tu. kinachoitajika ni Utanzania
Wewe ndio huhitaji, mimi kabila langu ndio utambulisho wangu wa kwanza. Naweza kubadili uraia lakini sio kabila.