Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 568
Huyu mtoa Uzi mnahisi wawapi due to "lafudhi" instead of "rafudhi"
M napenda sana kiswahili cha lafudhi ya kiArusha. Msichana from A town akiniongelea hivo dah hua napata muhemko watofauti sana
Njo Nikuongeleshe
Huyu mtoa Uzi mnahisi wawapi due to "lafudhi" instead of "rafudhi"
Zanzibar kwa ujumla hakuna mpinzan huko ndo asili ya kiswahili chenyewe wengine wanakufuru tu
kisegeju unakijua weye au
wengine hata ukisema msegeju watakuuliza ,,,,,ndio nani?hawajui hawa, yaani ukamsikiliza msegeju na mdigo , mtu wa mombasa , watu wa unguja wakiongea kiswahili hutataka wamalize
....cha kiunguja....yaani kuwa natafakari unamgegeda binti wa kiunguja halafu analalamika kimahaba kwa ile lafudhi yao ya kule visiwani.balaaaaaa.
Mtoto moya amekufa, tuko na bhatoto
Tanga ndio kuna Kiswahili wengine wote tunaiga tu
Watu tunazungumzia lafedhi ya kiswahili sio ubora wa kiswahili kongosho wewe
Cha mombasa