Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,111
- 4,773
Nairobi pande gani?
Nairobi Mjini🙈🙈 mitaa ya central park na jirani zake na siongelei kiswahili chao cha mtaani no.,
Nairobi pande gani?
Cha mombasa
Habari wana jf,eti ni kiswahili cha lafudhi gani ukisikiapo unatamani mzungumzaji aendelee kuzungumza kutokana na raha na burudani unayoipata,binafi mimi hupendelea sana kiswahili cha lafudhi ya kijaruo.
nndorrr obo we.mbula washa mcheso nanii? Nitakufuruga bwashee. Hiso hela sifikishe sitaki mcheso na kima.
Kiswahili, lahaja ya Kongo, au Kingwana huwa inanibariki sana. Bamutu ba fasi ya Kivu...
By malimi katoro![]()
![]()
Habari wana jf,eti ni kiswahili cha lafudhi gani ukisikiapo unatamani mzungumzaji aendelee kuzungumza kutokana na raha na burudani unayoipata,binafi mimi hupendelea sana kiswahili cha lafudhi ya kijaruo.
JUU YA NINI PAPAA
NAPIGA PANTALOO(SUTI)
NZI NAGONGA NAVUNJIKA MABAWA.
......UMEKUYA TENA KUBAONA BATOTO BA DARISALAMAA?
....cha kiunguja....yaani kuwa natafakari unamgegeda binti wa kiunguja halafu analalamika kimahaba kwa ile lafudhi yao ya kule visiwani.balaaaaaa.
lafudhi ya kisukuma noumaaaa!
Hakika...
Kingindo ni noumaaa!
nitakutafuta unifunze kingindo
tanga na mombasa