Kiswahili chenye lafudhi yenye mvuto

Kiswahili chenye lafudhi yenye mvuto

mkuu anza kufuatilia hotuba za Dr.John pombe Magufuli kuna kiswahili murua cha kisukuma naimani utaburudika kwa lafudhi yenye mkazo kila neno...
 
Kuna huyu mdada anaendesha kipindi cha NIAMBIE frm Clouds. cjui jina lake nani? aiseee! ana kiswahili kizuri sauti nzuri daaah! anakosha sana. anaemjua jina anisaisue plz
 
mkuu anza kufuatilia hotuba za Dr.John pombe Magufuli kuna kiswahili murua cha kisukuma naimani utaburudika kwa lafudhi yenye mkazo kila neno...

Uuze karanga..ushuru...uuze mandazi ushuru..uuze tusoda..ushuru..nataka nikafunge na kufuli kama jina langu hutu tuushuru ushuru utu... "in Magufuli's voice"
 
Kiswahili cha Tanga kinavutia sana, watu wa Tanga wamejaaliwa na Manani katika kukienzi na kukitumia kiswahili kwa ufasaha haswaa!
 
Kuna huyu mdada anaendesha kipindi cha NIAMBIE frm Clouds. cjui jina lake nani? aiseee! ana kiswahili kizuri sauti nzuri daaah! anakosha sana. anaemjua jina anisaisue plz

mi mwenyewe nilikuwa natamani sana kumfahamu, sijawahi sikia kipindi chake ila matangaza tu ya kipindi ndio huwa yananivutia.
 
mi mwenyewe nilikuwa natamani sana kumfahamu, sijawahi sikia kipindi chake ila matangaza tu ya kipindi ndio huwa yananivutia.

Yani huyo mdada me natamani hata nionane nae tuu basi inatosha! roho yangu itakuwa imeridhika ana kiswahili kizuri sana + sauti yake aaaha!!
 
Back
Top Bottom