Kiswahili chenye lafudhi yenye mvuto

Kiswahili chenye lafudhi yenye mvuto

Naona wanyaki wanatamka vzr sana kiswahili. Iko penda sn hiyo
 
kitu kisukuma bana...maneno yanatamkwa yanatamkika...
 
Lahaja ya kimtang'ata Tanga, na lahaja ya kiunguja- unguja . Ukimpata mndakindaki azungumzae kwa lafudhi za lahaja hizo basi hapana shaka masikio yako hayatapata ungwadu wala ukakasi!..
 
Cha watu wa kanda ya ziwa wanaharibu lugha yetu tu pamoja na wamasai

Mi penda sana lugha kutoka tanga
 
Habari wana jf,eti ni kiswahili cha lafudhi gani ukisikiapo unatamani mzungumzaji aendelee kuzungumza kutokana na raha na burudani unayoipata,binafi mimi hupendelea sana kiswahili cha lafudhi ya kijaruo.
Mimi bwana nikisikia kile chenye lafudhi ya ki congo, huwa naburudika sana.
 
Back
Top Bottom