Kiswahili chenye lafudhi yenye mvuto

Kiswahili chenye lafudhi yenye mvuto

Lahaja ya kimtang'ata Tanga, na lahaja ya kiunguja- unguja . Ukimpata mndakindaki azungumzae kwa lafudhi za lahaja hizo basi hapana shaka masikio yako hayatapata ungwadu wala ukakasi!..

hahaha, wanikumbusha shangazi yangu , ilikuwa akija DAR... basi pale mtaani wamchokoza kusudi ili aongee tu! maana mwanamke wa kitanga kuongea amejaaliwa....

Tanga moja! nakupenda sana kwetu... barabara 20 nimekulia ..
 


hahaha, wanikumbusha shangazi yangu , ilikuwa akija DAR... basi pale mtaani wamchokoza kusudi ili aongee tu! maana mwanamke wa kitanga kuongea amejaaliwa....

Tanga moja! nakupenda sana kwetu... barabara 20 nimekulia ..

mwajua kumbe wanandugu mana ukifika pale makorola kwa bii toti ama ukienda pangani bweni kwa mzee sharifu au hata kule mkwaja lladhi kwa bimagendo lazima utaulizwa haya we mwana waani weye kujilini weye haya wauyapi(yani mtoto wa nani umekuja lini na unatoka wapi) ukitaja sehemu ambayo siyamwambao waambia kumbe jitu labara.huko tanga ndokuna waswahili haswaa manake watu hawna hawaongei lugha za makabila zaidi yalahaja tu kma mgeni huwezi ambua kitu katu. nmekumbuka mbali sana
 
mwajua kumbe wanandugu mana ukifika pale makorola kwa bii toti ama ukienda pangani bweni kwa mzee sharifu au hata kule mkwaja lladhi kwa bimagendo lazima utaulizwa haya we mwana waani weye kujilini weye haya wauyapi(yani mtoto wa nani umekuja lini na unatoka wapi) ukitaja sehemu ambayo siyamwambao waambia kumbe jitu labara.huko tanga ndokuna waswahili haswaa manake watu hawna hawaongei lugha za makabila zaidi yalahaja tu kma mgeni huwezi ambua kitu katu. nmekumbuka mbali sana


lol, na ukapita kimya kimya bila kusalimia... Mkaza sharif ! akutupia salam wasikia sauti ikotokea dirishani "Asalaaam alykum bwan njiwaaa hatujambo sisi " ... waitikia kwa aibuu! kisha wataarizwaa..." muoneeee umetahayariii basi ni nduguzo sisi pia..." hahaha! dah! tanga!!! wadigo na wasegeju ndio zao! wajuana mji mzima...

 
Sipendi wazenziberi na wakenya wanavyoharibu kiswhili
 
Zanzibar kwa ujumla hakuna mpinzan huko ndo asili ya kiswahili chenyewe wengine wanakufuru tu
 
Unataka kiswahili chenye lafudhi ya mvuto, tafuta movie ya kihindi inaitwa All the best, starring Sunjay dutt na Ajay, tazama kipande cha mwisho kabisa kuna kiswahili cha kihindi humo utavunja mbavu
 
"" Manzee hii mitu ya bongo iko leta kiswahili murefu hapa! ! ""
Maaskari wa sirari mpakani nchin Kenya
 
Back
Top Bottom